Simba yamsajili Salehe Karabaka kutoka Zanzibar

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Club ya FIFA.
Huyu ni mchezaji hasa. Kipaji na chipukizi.

Tumekataa kusajili wazee.
 
Hizi ndio vitu vinawapa furaha na ushindi makolo miaka 2 hii. Hii itawavusha tena for another 3 months kisha mtatupiwa lingine mnalibeba mnashangiliaaaaaaa baada ya another 3 months uchaguzi umefika analetwa Manzoki anabadili upepo mnashangilia weeeeeeeee

Safi lakini, muhimu huwa ni furaha. Haijalishi furaha umeipata kwa kubeba kombe au kumfunga mtani goli 5 au kuletwa Robertino au kuletwa Manzoki kwenye kampeni za uchaguzi badala ya kusajiliwa
 
Simba kwenye wazawa huwa hawakosei sana shida kwamba wanawasajili halaf hawawapi mda wa kucheza hadi wanapata vitambi.
 
Kwani tumesha ruhusiwq na FIFA kisajili?
 
Ataozea benchi kama DE JANG alicheza dakika 72 tu ktk mechi 5 tangu asajiliwe uvumilivu ukamshinda akanyanyua mabegi tokea hapo hapo zenji msimu kama huu akasepa, pale simba vijana hua hawapangwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…