Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kutoka kwenye ukurasa wa Maulid Kitenge huko Twitter ameripoti kuwa kuna tetesi kuwa nyota mahiri wa Simba Sc kutoka Zambia, Clatous Chota Chama ameuzwa kwa klabu moja nchini Morocco.
Hiyo ni baada ya Mtenda Mkuu wa Simba, kuwa nchini huko kwa muda wa siku kadhaa sasa.
Kitenge ametumbia atatuambia timu anayoenda Chama na kiasi alichouzwa!
Kama ni kweli, Simba Sc inaweza ikapoteza key players wake wawili ndani ya dirisha hili ambao ni Chama na Miquissone, unawaona Simba wakiwa katika nafasi gani msimu ujao?
Hiyo ni baada ya Mtenda Mkuu wa Simba, kuwa nchini huko kwa muda wa siku kadhaa sasa.
Kitenge ametumbia atatuambia timu anayoenda Chama na kiasi alichouzwa!
Kama ni kweli, Simba Sc inaweza ikapoteza key players wake wawili ndani ya dirisha hili ambao ni Chama na Miquissone, unawaona Simba wakiwa katika nafasi gani msimu ujao?