Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Katika watu wenye matatizo na kutunga taarifa za kuzusha mitandaoni ndio huyu namba moja naona sijui tcra wanashindwa nini kuanza nae ili liwe fundisho kwa washirika wenzie wenye mtindio wa ubongo
Binafsi naona kitenge sidhan km alisoma na anacheti naafiki ile kila mwandishi awe na diploma kwenda juu
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
World class πππSoka biashara. Kama simba wanaona watapata mpunga mrefu fresh tu. Tutasajili world class wengineπππ
Huo mpunga wa Hindian people . Timu ya Simba haina chake hapoSoka biashara. Kama simba wanaona watapata mpunga mrefu fresh tu. Tutasajili world class wengine[emoji16][emoji16][emoji16]
Ngoja uje kutukanwa na mikia,wamevurugwa kila anaepita karibu nao anaambulia matusi hadi huku mitaani Shadeeya au sio πTetesi ni Jambo la kawaida katika soka na wachezaji kuuzwa ni Jambo la kawaida, wachezaji wanacho angalia ni maslahi Bora kwaajili ya maisha yao.
World class sio? Yaani Thimba isajiri kina Messi, Neyma au umesahau ulitaka kusema African top playersSoka biashara. Kama simba wanaona watapata mpunga mrefu fresh tu. Tutasajili world class wengine[emoji16][emoji16][emoji16]
Wameungana sasaHater mkuu wa Manara, kapata wapi hii info?
πππHii ndo tofauti ya Simba na timu zingine,Simba inatengeneza mambo kwa faida sio kelele kama za mashabiki wa Manara f.c.
Ni kweli,timu iliyompokea barbara huko morocco ndio iliyomnunua chamaTetesi kama tetesi ninachojua mtendaji wa simba kaenda kuweka sawa maandalizi ya Kambi ya Simba maana wataweka huko kambi kuanzia wiki ijayo huyo Khanga anaendeleza propaganda za Yanga juu ya simba wakiongozwa na Manara
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app