Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kama uzee wake utakuwa na faida katika timu itakuwa vizuri kuliko kusajili vijana wasio na faidaWazee wanaongezeka msimbazi, hii itakuja kuitwa klabu ya wazee kama baraza za kahawa tu.
Mzee Nyoni ana faida gani kwenye timu?Kama uzee wake utakuwa na faida katika timu itakuwa vizuri kuliko kusajili vijana wasio na faida
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kama uzee wake utakuwa na faida katika timu itakuwa vizuri kuliko kusajili vijana wasio na faida
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Akiwa Yanga alichukua ubingwa so shombo zako hazina mantikiKwa usajili wa aina hii, msahau kuhusu ubingwa.