Simba,Yanga Na Azam, Kuukosa Ubingwa Msimu Ujao: Sakho Na Mayele Kuukosa Msimu Ujao

Simba,Yanga Na Azam, Kuukosa Ubingwa Msimu Ujao: Sakho Na Mayele Kuukosa Msimu Ujao

KijanaHuru

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,822
Reaction score
2,320
Hii yaweza Kuwa habari mbaya kwa mashabiki wa simba na yanga lakini pia yaweza kuwa habari njema kwa timu pinzani kwa hawa watu.

hatihati ya Mayele kwenda Kwa Madima naona iko ukingoni kabisa ikiwa kabakia mwenyewe mhusika kuangusha wino, kwa dau lililopo hata mchezaji kubakia Yanga itakuwa uongo sana.

Sakho Pia hawezi kabisa kuendelea kubakia simba Msimu tunaouanza watu wameweka dau tayari mipango yakimaandishi haijafika asilimia zote lakini naona mipango kazi iko njema tayari.

Kuhusu Ubingwa naona Ngao ya jamii itaendelea kubakia tena jangwani, kwa vikombe viwili vilivyobakia ikiwemo cha ligi kuu.
Simuoni Simba wala Yanga Wala Azam kunyakua hizo ndoo,
Isipokuwa tu watu wasipofanya mambo yakupindua matokeo nje ya uwanja ila japo kuna mtihani mkubwa sana wakufeli juu ya hili jambo sababu ya mabadiriko ya upepo wakisoka.

Haya ni maoni yangu na utabiri wangu.
Nimekaa pale nakunywa kahawa kukiwa na chokochoko yoyote nitakuja isema pia
 
MAOMBI YA MKOPO HESLB, VYUO, NACTE, RITA

Kama una mtoto, ndugu, jamaa au wewe mwenyewe unajiandaa kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka huu:

Karibu nikusaidie kwa huduma zifuatazo:

1.Uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa, Rita

2. Kutuma maombi nafasi za masomo ya vyuo vikuu

3. Maombi ya mkopo, bodi ya mkopo elimu ya juu HESLB

4. Maombi NACTE

Piga namba hizi:0683992623
0628368636(ofisi)

Kwa wakazi wa Kitunda, Matembele, Banana na Fremu kumi tafadhali fika ofisini Fremu kumi Mwisho wa gari, kwa ushauri zaidi.

Ushauri ni bure, Piga nikupe mwongozo wa kielimu.
Tafadhali mfikishie muhusika(share).
 
MAOMBI YA MKOPO HESLB, VYUO, NACTE, RITA

Kama una mtoto, ndugu, jamaa au wewe mwenyewe unajiandaa kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka huu:

Karibu nikusaidie kwa huduma zifuatazo:

1.Uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa, Rita

2. Kutuma maombi nafasi za masomo ya vyuo vikuu

3. Maombi ya mkopo, bodi ya mkopo elimu ya juu HESLB

4. Maombi NACTE

Piga namba hizi:0683992623
0628368636(ofisi)

Kwa wakazi wa Kitunda, Matembele, Banana na Fremu kumi tafadhali fika ofisini Fremu kumi Mwisho wa gari, kwa ushauri zaidi.

Ushauri ni bure, Piga nikupe mwongozo wa kielimu.
Tafadhali mfikishie muhusika(share).
All The best ndugu nakutakia kila la heri katika juhudi na jitihada zako ukafanikiwe kwa kila hitaji lako
 
Endelea kuwatabiria utopolo wenzako Simba na Azam hatuendi kwa tabiri zako za kipepo.
Katika michezo kutabiri nikawaida tu unaangalia timu zilivyo na takwimu mbalimbali za kimichezo kwahiyo sio lazima pepo litabiri nk ndio maana kunakubeti pia.
na ukisifiwa mzuri haina maana lazima uliwe na msifiaji kwahiyo kusema yanga kubeba tena ngao ya jamii haina maana mimi ni yanga
 
Hii yaweza Kuwa habari mbaya kwa mashabiki wa simba na yanga lakini pia yaweza kuwa habari njema kwa timu pinzani kwa hawa watu.

hatihati ya Mayele kwenda Kwa Madima naona iko ukingoni kabisa ikiwa kabakia mwenyewe mhusika kuangusha wino, kwa dau lililopo hata mchezaji kubakia Yanga itakuwa uongo sana.

Sakho Pia hawezi kabisa kuendelea kubakia simba Msimu tunaouanza watu wameweka dau tayari mipango yakimaandishi haijafika asilimia zote lakini naona mipango kazi iko njema tayari.

Kuhusu Ubingwa naona Ngao ya jamii itaendelea kubakia tena jangwani, kwa vikombe viwili vilivyobakia ikiwemo cha ligi kuu.
Simuoni Simba wala Yanga Wala Azam kunyakua hizo ndoo,
Isipokuwa tu watu wasipofanya mambo yakupindua matokeo nje ya uwanja ila japo kuna mtihani mkubwa sana wakufeli juu ya hili jambo sababu ya mabadiriko ya upepo wakisoka.

Haya ni maoni yangu na utabiri wangu.
Nimekaa pale nakunywa kahawa kukiwa na chokochoko yoyote nitakuja isema pia
Ukiendelea kuota ndoto za aina hii, basi kuna siku utajikuta umechafua kitanda saa 7 mchana.
 
Hongera Ngao kama ngao imebaki sahara desert
 
Back
Top Bottom