M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
kutokana kumbukumbu zilizopo kwenye Wikipedia, ubingwa wa Tanzania kati ya Simba na Yanga (ukiondoa huu wa mwaka 2015 wa Yanga) inaonyeshwa kama ifuatavyo:
1. Tanzania Bara
Simba bingwa mara 18 (hapa kuna makosa kwani wame-include mwaka 1972 wa Yanga, so ni mara 17)
Yanga bingwa mara 24
2. Muungano:
Simba bingwa mara 3
Yanga bingwa mara 4
Angalia hapa chini:
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Simba_S.C. & http://en.m.wikipedia.org/wiki/Young_Africans_S.C.
vyombo vya habari na wanamichezo wanatoa takwimu hii iliyokosewa ya Tanzania Bara ya Simba mataji 18 badala ya 17. this is a serious lack of attention to details.
TFF (presidaa Malinzi& co) mnapaswa kuweka sawa hizi kumbukumbu ili zisiendelee kupotoshwa.
1. Tanzania Bara
Simba bingwa mara 18 (hapa kuna makosa kwani wame-include mwaka 1972 wa Yanga, so ni mara 17)
Yanga bingwa mara 24
2. Muungano:
Simba bingwa mara 3
Yanga bingwa mara 4
Angalia hapa chini:
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Simba_S.C. & http://en.m.wikipedia.org/wiki/Young_Africans_S.C.
vyombo vya habari na wanamichezo wanatoa takwimu hii iliyokosewa ya Tanzania Bara ya Simba mataji 18 badala ya 17. this is a serious lack of attention to details.
TFF (presidaa Malinzi& co) mnapaswa kuweka sawa hizi kumbukumbu ili zisiendelee kupotoshwa.