Simba yapigwa bao 7 Afrika Kusini

Thanx God haikuwa mechi ya ratiba wala ligi.

Itaimarika naamini
Aisee pole mkuu. Hata na wewe boss umekosa timu ya kushangilia.

Pole sana. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu hili jukwaa wewe si saizi yako,ni bora urudi facebook tu,sijaona sababu ya wewe kutukana wakati hapa ni watani wa jadi.
Jaribu kuwa na adabu maana hapa wengine ni baba zako dogo.
Kama hao unawapotezea tu hawajui ukitaka utani wa jadi uwe na moyo wa kupokea mabaya na mazuri.

Ndio hao wanazimiaga Taifa.
 
Kama hao unawapotezea tu hawajui ukitaka utani wa jadi uwe na moyo wa kupokea mabaya na mazuri.

Ndio hao wanazimiaga Taifa.
Ni kweli mkuu,maana naona dogo alikua anaenda tuition kaamua kupitia jf kutoa povu kwanza.....!
 
Huu ni ujinga uliovuka mipaka. Nashangaa hata baadhi ya watu wanashindwa hata kutumia google image search kuona kama image zilizotumika ni AUTHENTIC?
 
Yanga alipigwa 34 -0 huko Brazil.
 
Kama hao unawapotezea tu hawajui ukitaka utani wa jadi uwe na moyo wa kupokea mabaya na mazuri.

Ndio hao wanazimiaga Taifa.
wang'oa viti hao..upande wao pale taifa pana viraka sana,kiti hiki kipya kile cha zamani
 
Ni habari ya chinichini kwamba mnyama simba sports yalambwa saba katika moja ya mechi za kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu
Ama kweli huu utakuwa msala na kocha ajipange maana kupigwa Wiki si kitu cha kuchekelea
FAKE NEWS....
 
Ndondo za kimataifa wamuachie Azam tu, hawa mikia labda walikuwa wanataka kuonja tamu ya kupanda ndege tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…