mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Umati mkubwa Mashabiki wa Simba umejitokeza katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere kuwapokea Wababe wa soka hapa barani Afrika.
Mashabiki wengi wa Simba ambayo imetolewa hatua ya robo fainali na Wydad casablanca ya Morocco wameonekana kufurahishwa na matokeo ya timu yao kuendelea kulitetea kombe lao la kufika robo fainali kwenye michuano ya caf.
.....................
Mashabiki wengi wa Simba ambayo imetolewa hatua ya robo fainali na Wydad casablanca ya Morocco wameonekana kufurahishwa na matokeo ya timu yao kuendelea kulitetea kombe lao la kufika robo fainali kwenye michuano ya caf.
.....................