mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Wamerudi nalo mkuu
tunaiomba serikali iipeleke timu yetu ya Simba bungeni kwa heshima iliyoliletea taifa letu[emoji23][emoji23][emoji23]Safi Sana Sana Hii Simba Inangojewa Na Serikali Kwa Mapokezi Maalum
Watu wanaitafuta nusu leo kisha fainali kisha ubingwa. Walioumaliza mwendo jipongezeni kwa kwenda hata ikulu.Safi Sana Sana Hii Simba Inangojewa Na Serikali Kwa Mapokezi Maalum