Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Unadhani aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alipowaita wana Yanga SC wote ( ipo YouTube ) kuwa ni Mbwa, Sokwe na Nyani alikuwa Kakosea?Kweli huko utopolo wenye akili ni wawili, sasa unaichekaje Simba iliyo top 10 wakati Yanga yako iko nafasi ya 18?.
Mkuu huwa unanifurahisha sana na nyuzi zako.Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya SIMBA
Soma club ranking for 224/25
Link
Na Wewe pia Ungemfurahisha ingependeza sana tu ili wote mfurahishane.Mkuu huwa unanifurahisha sana na nyuzi zako.
Wewe nae hua una ujinga kila kitu nlisemaMwanzoni mwa msimu huu Simba ilikuwa nafasi ya 9, msimu unaisha iko nafasi ya 7, imeporomoka kivipi? Umenikumbusha uzi wangu niliosema Deportivo de Utopolo wakimtoa CRB itaisaidia Simba kupanda rank halafu kuna watu wakaniona sina akili. CRB angeenda robo fainali kwa kumtoa Yanga, Simba ingeshuka chini ya hapo ilipo sasa kwa hiyo mmefanya kazi bila malipo.
Yanga ikiingia robo fainali inaweza kuipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA
Ukiona simba inaporomoka ujue Yanga inaporomoka na kuserereka kwa pamoja.Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya SIMBA
Soma club ranking for 224/25
Link
Katika uzi ule niliwaambia nina tabia ya kutag watu kuwakumbusha matapishi yao. Unateseka ukiwa wapiii? Ni funzo msiwe mnabishia watu hovyo hovyo kisa ushabiki mandazi wenu
Nafikiri Yanga iligomea kombe la muungano kama ni kweli ili ile wiki (7-2) iendelee kusimama miezi kadhaa na mabango yanayokera yaendelee kusomeka vizuri heshima iwepo mjini.Nimegundua Yanga wanaumia sana Simba kupata hilo kombe..kwa sasa wapo kwnye ligi ya ubingwa ya kulishusha hadhi kombe hilo...maana kwa mijadala yao humu kila kukicha basi na hii ni ligi tena ligi ya mabingwa wa kuchonga ngenga...vyura wapiga kelele....
Mwakani wagome tena wasicheze tuone...
Yanga nayo ya ngapi?Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya SIMBA
Soma club ranking for 224/25
Link
Yanga ya ngapi?Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya SIMBA
Soma club ranking for 224/25
Link