asee hadi bangladesh kachezaKutoka kwenye ukurasa wa James Sheka
PA OMAR JOBE ni mshambuliaji kutoka Gambia ambaye amezaliwa mwaka 1998 huko nchini kwao Gambia akicheza katika eneo la ushambuliaji wa kati lakini pia ana uwezo wa kucheza nyuma ya mshambuliaji pia kama winga.
Pa Omar JOBE, wakati anatambulishwa na klabu ya Simba ametokea ligi ya KAZAKHSTAN huko Ulaya Mashariki ambako amecheza michezo 25, akishinda magoli 13 na pasi za magoli yaani assists (5).
So far so good Kwa hizi takwimu hizi bila shaka ni mshambuliaji mzuri Sana, lakini pia amecheza michezo 67 katika vilabu mbalimbali alivyopita alifanikiwa kufunga magoli 39 na pasi za usaidizi wa magoli yaani assists 10 katika ligi tofauti tofauti alizocheza ikiwemo pia ligi ya Bangladesh.
Bila shaka Kwa kumwangalia ni mchezaji mzuri Sana, Movement zake, Touches zake, uwezo wake wa kupiga mashuti, uwezo wake wa kufunga magoli ya vichwa, uwezo wa kupiga pasi pia footwork yake Iko vizuri Sana.
Ni mshambuliaji mwenye nguvu na kasi anapokuwa na mpira ni ngumu Kwa mpinzani kumpokonya mpira anapomiliki mpira, kutokana na umahiri wa viungo wengi wa Simba akiwemo SAIDO NTIBAZONKIZA, LUIS JOSE MIQUISSONE pamoja na Chama bila shaka kama akiweza ku-adapt mazingira ya ligi yetu, utamaduni wa Tanzania na akiweza kuwa na mahusiano mazuri na wenzake naamini atafanya vizuri Sana.
Cha msingi wapenda soka lakini pia wasimba na mashabiki wao, wamvumilie tu maana hapa Tanzania Kuna mambo mengi Sana, mchezaji anaweza akaja ana kiwango kizuri tu lakini akaja akashindwa kufanya vizuri.
Wachezaji wanatofautiana Sana katika kuzoea mazingira Kwa uharaka, wengine Wana uwezo wa kuzoea haraka lakini wengine Wanazoea pole pole, na Kuna mchezaji anaenda timu fulani akiwa na kiwango lakini baada ya kufika akashindwa kufanya vizuri.
Kuna mifano mingi Sana, akiwemo Angel Di Maria kutoka Real Madrid kwenda Manchester united FC lakini hakufanya vizuri, Radamel Falcao kutoka Monaco FC kwenda Manchester united FC hakufanya vizuri, Memphis Depay kutoka PSV FC kwenda Manchester united FC hakufanya vizuri, James Rodriguez kutoka Monaco FC kwenda REAL MADRID hakufanya vizuri.
@officialmohamedi_tz
@jamessheka78
#HOLYFINGERS was here.
Ngoja tuone flopy nyingine. Hizi flopy zilizopo zipate ushindani labda mambo yatakuwa tofauti.Duhh! Am so disappointed, kama hawana pesa Bora wangeacha kusajili wakasubiri dirisha kubwa labda wangekuwa wamejipanga[emoji706][emoji57]
HahahahahahaNi chaguo la kocha au viongozi?
Kama kocha sina wasiwasi ila kama kina Mangungu na Try again basi hapo ni half loss half profit
Msinge waelewa lawama zingekua nyingi sana ...Duhh! Am so disappointed, kama hawana pesa Bora wangeacha kusajili wakasubiri dirisha kubwa labda wangekuwa wamejipanga[emoji706][emoji57]
Umesahau Zolan alituletea Sawadogo, Dejan na QattaraNi chaguo la kocha au viongozi?
Kama kocha sina wasiwasi ila kama kina Mangungu na Try again basi hapo ni half loss half profit
Kutoka kwenye ukurasa wa James Sheka
PA OMAR JOBE ni mshambuliaji kutoka Gambia ambaye amezaliwa mwaka 1998 huko nchini kwao Gambia akicheza katika eneo la ushambuliaji wa kati lakini pia ana uwezo wa kucheza nyuma ya mshambuliaji pia kama winga.
Pa Omar JOBE, wakati anatambulishwa na klabu ya Simba ametokea ligi ya KAZAKHSTAN huko Ulaya Mashariki ambako amecheza michezo 25, akishinda magoli 13 na pasi za magoli yaani assists (5).
So far so good Kwa hizi takwimu hizi bila shaka ni mshambuliaji mzuri Sana, lakini pia amecheza michezo 67 katika vilabu mbalimbali alivyopita alifanikiwa kufunga magoli 39 na pasi za usaidizi wa magoli yaani assists 10 katika ligi tofauti tofauti alizocheza ikiwemo pia ligi ya Bangladesh.
Bila shaka Kwa kumwangalia ni mchezaji mzuri Sana, Movement zake, Touches zake, uwezo wake wa kupiga mashuti, uwezo wake wa kufunga magoli ya vichwa, uwezo wa kupiga pasi pia footwork yake Iko vizuri Sana.
Ni mshambuliaji mwenye nguvu na kasi anapokuwa na mpira ni ngumu Kwa mpinzani kumpokonya mpira anapomiliki mpira, kutokana na umahiri wa viungo wengi wa Simba akiwemo SAIDO NTIBAZONKIZA, LUIS JOSE MIQUISSONE pamoja na Chama bila shaka kama akiweza ku-adapt mazingira ya ligi yetu, utamaduni wa Tanzania na akiweza kuwa na mahusiano mazuri na wenzake naamini atafanya vizuri Sana.
Cha msingi wapenda soka lakini pia wasimba na mashabiki wao, wamvumilie tu maana hapa Tanzania Kuna mambo mengi Sana, mchezaji anaweza akaja ana kiwango kizuri tu lakini akaja akashindwa kufanya vizuri.
Wachezaji wanatofautiana Sana katika kuzoea mazingira Kwa uharaka, wengine Wana uwezo wa kuzoea haraka lakini wengine Wanazoea pole pole, na Kuna mchezaji anaenda timu fulani akiwa na kiwango lakini baada ya kufika akashindwa kufanya vizuri.
Kuna mifano mingi Sana, akiwemo Angel Di Maria kutoka Real Madrid kwenda Manchester united FC lakini hakufanya vizuri, Radamel Falcao kutoka Monaco FC kwenda Manchester united FC hakufanya vizuri, Memphis Depay kutoka PSV FC kwenda Manchester united FC hakufanya vizuri, James Rodriguez kutoka Monaco FC kwenda REAL MADRID hakufanya vizuri.
@officialmohamedi_tz
@jamessheka78
#HOLYFINGERS was
Profile ya Zoran na Benchika ni vitu viwili tofautiUmesahau Zolan alituletea Sawadogo, Dejan na Qattara
Hakuna mchezaji hapo! Mshambuliaji unamuona tu kwa muonekano wake, tumekuwa na watu wa kazi wakina Mark Silengo,Felix Mumba Sunzu, Medie Kagere, Mugalu n.k wote walikotoka walikuwa ni moto, wakaja Simba wakawasha moto haswa.Labda Mungu atasikia kilio chetu
Ihefu ishauzwa ile Highland estate tutafugia mitiTunanunua Simba Mbovu Kwa Mia Tatu.
Tegemeeni kufungwa kimoko na Mlandege alafu mtakula 5 zingine kutoka kwa Yanga, hicho ndio watakujibuHakuna mchezaji hapo! Mshambuliaji unamuona tu kwa muonekano wake, tumekuwa na watu wa kazi wakina Mark Silengo,Felix Mumba Sunzu, Medie Kagere, Mugalu n.k wote walikotoka walikuwa ni moto, wakaja Simba wakawasha moto haswa.
Uyu hata alipo toka hapajulikani tusitegemee maajabu yeyote kwake hakuna mchezaji humo.
Yohane mbatizaji alituma watu wamuulize Yesu kuwa yeye ndie Masih?!! Yesu hakuwa na mambo mengi aliwaambia nendeni mka mwambie Yohane ninayofanya:"vipofu wanaona,viziwi wanasikia,walemavu wanatembea na mabubu wanaongea"
Ukiwauliza viongozi wa Simba uyu mtu mliemleta ni nani? Hakuna jibu la maana watakupa! ni ujinga mtupu.