Simba yasajili foward Mgambia, Pa Omar Jobe

Ngoja tuone.ila BONGO tuache ushabiki maandazi.hilo sio kigezo sana
Huyu MAYELE alikaa yànga misimu mingapi
 
Hatuna viongozi,timu inasajili wachezaji kama timu ya gwambina!!!
 
Ni chaguo la kocha au viongozi?

Kama kocha sina wasiwasi ila kama kina Mangungu na Try again basi hapo ni half loss half profit
Hapo kuna wazee wa 10 percent washafanya Yao... Usikute Hana hata nusu ya uwezo wa Moses Phiri
 
Hamna kitu hapo, mchezaji Toka 2019 hajawahi kuuzwa hata sh mia, yaani ni mwendo wa free transfer na mkopo tu...
 
Mara nyingi mchezaji ambaye haimbwi sana midomoni mwa watu huwa anakuja kuwa mchezaji mzuri! Mimi naimani nayeye!
Ligi ya Kazakhstan ni laini sana angalia National team yao ushiriki wa vilabu vyao kwenye michuano ya UEFA mbaya zaidi huyu jamaa hajatoka top team ni kama katoka Dodoma jiji ya Kazakhstan
 
Ligi ya Kazakhstan ni laini sana angalia National team yao ushiriki wa vilabu vyao kwenye michuano ya UEFA mbaya zaidi huyu jamaa hajatoka top team ni kama katoka Dodoma jiji ya Kazakhstan
Timu ya taifa ya Gambia amewahi kuitwa ? Hata mechi za awali ? Hebu niulizie huko
 
Kwenye dirisha dogo kupata mchezaji mzuri ni betting, Simba na Yanga tujifariji tu
 
Nimeangalia clip yake youtube inaonyesha ni mchezaji mzuri akipata viungo wa kumlisha anafunga haswa ila ikawa viungo wapo butu tutampopoa na matusi ya kibongo,anacheza kama kagere muda mwingi yupo kwenye box la kipa sio mtafutaji wa mpira akiwa nao mpinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…