Hii club inaendeshwa kihuni Sana, Mo ni Mjini, Mabata Mjini, Magori kidogo anakujakuja Ila duh!
Kwa kauli hii nilitegemea wataipinga mapema kabisa, lakini wanasubiri Hadi tamko la TFF, klabu hii inatakiwa kubadilika Kiuongozi ili iwe klabu kubwa Kama TP Mazembe