Simba yatia aibu usajili wa Yusufu Mhilu, inategemea tena TFF iibebe kama kwa Morrison

Simba yatia aibu usajili wa Yusufu Mhilu, inategemea tena TFF iibebe kama kwa Morrison

Sisi kama TFF hilo jambo ni dogo sana kwetu na favor side yetu ambayo ni simba SC tutawapa haki yao ambayo ni mchezaji Mhilu na mali yao halali kabisa
 
TFF wamegoma Mkuu, wamesema timu hizo mbili zikubaliane kuhusu transfer fee ya mchezaji husika.
Sisi kama TFF hilo jambo ni dogo sana kwetu na favor side yetu ambayo ni simba SC tutawapa haki yao ambayo ni mchezaji Mhilu na mali yao halali kabisa
 
Timu kubwa zinanunua wachezaji wa nje kwa bei kubwa lakini wanataka kuzidhulumu timu zetu ndogo kwa hela ndogo kununua wachezaji wenye uwezo mkubwa uwanjani kuliko wachezaji wa nje akina Chikwendwe, Sarpong, Kahata, nk. Huu ni mtihani wa kwanza wa Karia tangu urudi tena TFF.
 
Timu kubwa zinanunua wachezaji wa nje kwa bei kubwa lakini wanataka kuzidhulumu timu zetu ndogo kwa hela ndogo kununua wachezaji wenye uwezo mkubwa uwanjani kuliko wachezaji wa nje akina Chikwendwe, Sarpong, Kahata, nk. Huu ni mtihani wa kwanza wa Karia tangu urudi tena TFF.
Kwahiyo Karia ndio awe anapanga bei za kununua wachezaji?
 
Simba kumsajili na kumtambulisha Mhilu mwenye mkataba halali na Kagera bila kufuata utaratibu inamaanisha nini? .
Mimi nimemsikiliza Farhan Kiamu yule mchambuzi wa michezo Clouds, alisema amelifatilia hilo suala na kilichotokea ni hiki, nanukuu

"Simba walimalizana na Muhilu na walikua tayari wamewasiliana na Kagera Sugar na offer ya usajili ilikua imekubaliwa na pande zote mbili

Lakini walipokua hatua ya mwisho ikaja kugundulika kuwa kwenye mkataba wa Muhilu kuna kipengele kinachosema kama unataka kumchukua mchezaji huyu inabidi uchukue mshahara wa Muhilu uuzidishe mara muda wa mkataba uliobakia na timu ya Kagera,

So walipochukua mshahara wa Muhilu anaoupokea Kagera wakazidisha mara 12 (mwaka mmoja) ikaonekana pesa ni ndogo tofauti na kiasi walichokubaliana na Kagera ili wauvunje mkataba, so simba wakaona walitaka kupigwa na ndipo hapo wakasimama na mkataba unavyosema

Kitu hicho kikafanya kutokuelewana kati ya viongozi wa kagera na Simba ndio maana kagera wameamua kuja kutafuta public sympathy ili wasaidiwe na nguvu ya umma" mwisho wa kunukuu

Ila yote kwa yote Simba bado wanaingia matatizoni maana walikosea kumtangaza mchezaji bila kukubaliana na timu aliyotoka
 
Mimi nimemsikiliza Farhan Kiamu yule mchambuzi wa michezo Clouds, alisema amelifatilia hilo suala na kilichotokea ni hiki, nanukuu

"Simba walimalizana na Muhilu na walikua tayari wamewasiliana na Kagera Sugar na offer ya usajili ilikua imekubaliwa na pande zote mbili...
Ilikuwaje Muhilu aende TFF mwenyewe akadai kuvunja mkataba wake na Kagera ili awe huru kwenda simba? Simba weledi uko wapi kumtangaza mchezaji ambae usajili wake bado una shida? kiburi cha kufanya hivyo wanakitoa wapi!! TFF? Karia? mo? au ukubwa wa Simba na udogo wa Kagera?

Soka letu lina safari ndefu kufika linakokwenda
 
Ilikuwaje Muhilu aende TFF mwenyewe akadai kuvunja mkataba wake na Kagera ili awe huru kwenda simba? Simba weledi uko wapi kumtangaza mchezaji ambae usajili wake bado una shida?...
Mimi nadhani mchezaji mwenyewe (Muhilu) alipoona labda ada ya kusajiliwa ni kubwa tofauti na iliyopo kwenye mkataba kuna uwezekano aliingia tamaa akaamua awaoneshe Simba masharti ya mkataba, na simba kwa upuuzi wakashindwa kufata makubaliano na Kagera wakaona wawazunguke Kagera ili kama kuna uwezekano wampe Muhilu pesa ili akaununue mkataba, then kagera kuona hivyo wakaona dili lao linaingia mchanga ndio wakaamua kulitibua

So hapo ni Muhilu mwenyewe ndio amejiweka kitanzini kwa ninavyohisi mimi, maana ukiangalia sababu ya Muhilu kuamua kwenda TFF ni haina mashiko, nahisi ni tamaa tu ya kupata pesa nyingi ndio imemsababishia yote haya

Ila Simba wanatakiwa washitakiwe na Kagera, maana kulimaliza kimya kimya ni kuendelea kulea upuuzi kama huu
 
Kwahiyo Karia ndio awe anapanga bei za kununua wachezaji?
Sio yeye anaepaswa kupanga bei za uhamisho, lakini karia anapaswa kuufahamu ubaya wa timu kumtambulisha mchezaji mwenye mkataba halali na timu nyingine na anapaswa kuifahamu adhabu ya kosa hilo. Kama Karia na TFF watafumba macho, masikio na midomo yao kwenye kosa hili hawatafanya hivyo kwa bahati mbaya tu.
 
Ebu fuatilia kagera wanasema hawaendi TFF

Walikubaliana 60M lakini baadae Simba wakagundua mkataba wa mhilu unaoption ya mhilu kuuzwa kwa 32M tuu.

Ila makubaliano yapo.
it is not over till is over, Simba wasingemtangaza na kumtambulisha kuwa ni mchezaji wao hadi pale ambapo wamemaliza mabishano ya uhamisho.

Kosa kama hili likiachwa lipite litavuruga hukumu za makosa kama haya siku zijazo (presidency), na hata adhabu yake atatumiwa kwa makosa mengine yajayo. Ili kutenda haki kwenye soka leo na kesho lazima tuangalie FIFA, CAF, na CECAFA wanatoa adhabu gani kwa timu ikimtangaza mchezaji mwenye mkataba halali na timu nyingine.
 
Ilikuwaje Muhilu aende TFF mwenyewe akadai kuvunja mkataba wake na Kagera ili awe huru kwenda simba? Simba weledi uko wapi kumtangaza mchezaji ambae usajili wake bado una shida? kiburi cha kufanya hivyo wanakitoa wapi!! TFF? Karia? mo? au ukubwa wa Simba na udogo wa Kagera?

Soka letu lina safari ndefu kufika linakokwenda
We utopolo kinachokuuma ni nini
 
Mimi nimemsikiliza Farhan Kiamu yule mchambuzi wa michezo Clouds, alisema amelifatilia hilo suala na kilichotokea ni hiki, nanukuu

"Simba walimalizana na Muhilu na walikua tayari wamewasiliana na Kagera Sugar na offer ya usajili ilikua imekubaliwa na pande zote mbili...
kwenye hili unamsikiliza mchambuzi au kiongozi wa Kagera?
 
Back
Top Bottom