Poa Chief ni kweli[emoji1666]Hapana semi finals CCL zilikuwa
1) Raja Casablanca vs Zamalek
2) Wydad Casablanca vs Al Ahly
Horoyo AC mwaka jana haikuingia makundi CCL bali iliingia makundi ya Caf Confederation Cup
Mkuu unabishana na Mshangiliaji?Sasa kama hayupo hapo unatoa wapi ujasiri wa kuwaita waliongia club bingwa group stage vibonde? Unaweza nikumbusha mwaka gani we tangu umeanza kushabikia Yanga ambao sio vibonde waliingia group stage champions League?
Hata iweje points 9 za nyumbani zipo Simba nakukumbusha tuu mwaka 2003 tulipangiwa
Enyimba
Ismailia
Simba
Asec Mimosa
Tuliondoka na points 7 tena refa alituua ismailia alifungwa goli halali na Emmanuel Gabriel batigoal mwakyusa ikaisha suluhu uwanja wa Uhuru kwa ufupi Simba wapo serious wakiwa nyumbani na wakiweka mipango wanaitimiza ya mwka juzi kishinda mechi zote nyumbani Ni mwendelezo tuu...UTO msije uwanjani tuu maana mtatia aibu Kama Jana mlivyokua mnateseka na ninashukuru uwanjani hamasa hamna maana hata 100 watu Jana hamkufika uwanjani
Hilo lipo wazi...ajabu Ni kupata sare ugeniniUnataka kuaminisha umma kuwa msimu huu 9 points zipo kwa mkapa?
Hongera we ni mshindiYanga anahusika na nini hapo? Subiri ukutane nae ama kwenye kombe la Mapinduzi au Ligi tutajua mbabe Ni nani? Kwa sababu msimu huu nao wamesema kombe lao ,muda utasema bingwa Ni nani ? Kwenye makundi siyo issue sana uwekezaji wa Mo lengo Ni kuchukua kombe .Tusubiri tuone muda utasema manake mbwembwe zimekuwa nyingi kana kwamba vile Ni Mara ya kwanza kwenda hatua ya makundi
Yanga anahusika na nini hapo? Subiri ukutane nae ama kwenye kombe la Mapinduzi au Ligi tutajua mbabe Ni nani? Kwa sababu msimu huu nao wamesema kombe lao ,muda utasema bingwa Ni nani ? Kwenye makundi siyo issue sana uwekezaji wa Mo lengo Ni kuchukua kombe .Tusubiri tuone muda utasema manake mbwembwe zimekuwa nyingi kana kwamba vile Ni Mara ya kwanza kwenda hatua ya makundi
Club bingwa mwaka Jana Horoya Vs Raja Casablanca semi final
KWA sasa Horpya ni level ya juu na hao wengine wamemtoa Raja si wakuwadharau.
Kila pot inatoka moja kuunda group.Maana yake ni nini? Watapangiw vibonde au unamaanisha nini?
Yanga ipo pot ip? NYANI weeeMbona pot 3 ina vibonde tu
Mbona nishakubali mkuu, Horoya ni semi finalist wa Confederation CupAcha UBISHI basi Mkuu...semi-finalist CAFCL kwa msimu wa mwaka jana ni Al-Ahly Cairo,Zamalek,Wydad Casablanca na Raja Casablanca.
Finalist walikuwa Al-Ahly Cairo Vs Zamalek....Al-Ahly Cairo akashinda mechi 2 - 1 akachukua kombe
Ww na huyo timu yenu ya Yanga ipo pot gan kat ya hzo. Dadadeq zenu. Jamhuri tu imewatosha nyan nyieKwa hiyo simba nao ni vibonde mkuu
Weka na pot ya Yanga. Thubutu. Nyie mpka dunia ivae nguo dadadeq zenu. Kwa Jamhuri tu hoiKila la kheri wamatopeni.
Wydad Casablanca
Zamalek
Paka Fc
Kaizer Chiefs
Kwa mungu gan uliyenaye?. Km hata issue zko binafc hazfanikiw. Ukiiombea utopolo ipate matokeo maxur inapigwa. SIMBA HAIDHURIKI NA VJIDUA NA VJMAOMBI VYA NYIE WASHIRIKINA. Dadadeq zenu mtaendelea kutesekaLeo nafunga na kuomba mikia adondokee hapa
ES Tunis
Zamalek
Kaiser chief