Simbachawene aagiza kukamatwa kwa Askari 5 wa Uwanja wa JNIA kwa uhalifu wa kusafirisha binadamu

Na ukweli mwingine ambao tunajifanya hatuuoni ni kwamba, hawa ma-housegirl wananyanyaswa hata hapa kwao! Unyanyasaji unofanywa na baadhi ya Waarabu kule Arabuni unafanywa hata na baadhi ya Watanzania wenzetu waliopo Tanzania. Kuna Wasichana wengi tu wanachukuliwa mikoani na kupelekwa Dar kwa ahadi ya kufanya kazi za ndani lakini wakifika kule wanafanyishwa kazi ya ukahaba lakini tunajifanya hilo hatulioni!
 
Watanzania bwana, hivi mtu na akili zake timamu kabisa anaona ufahari gani kwenda kufanya kazi za uyaya Uarabuni? Hawa watanzania wakamatwe na kunyongwa tu, Uarabuni si sehemu ya kwenda kufanya kazi hata kidogo, waulizeni Wahindi wanaotumikishwa kule na kubakwa.
 

SIasa katika ubora wake
 
Askari huwa wakipatikana wanakuwa wadogo hadi unawahurumia.. kuna mmoja alizinguana na dogo mmoja akamnasa vibao kwenye pub akaitisha na defender dogo akapelekwa... alivofika kaunta akaomba awasiliane na mzee wake wakamtupa ndani wanasemaga maagizo toka juu ilipigwa simu sasa toka jengo jeupe akapigiwa mkuu kabisa alitoka mkuku kwenda kumtoa jamaa aliemkamata kifupi alimuonea na kutumia ubabe tu.. jamaa alilia aisee kama mtoto na kumpigia magoti dogo akimuomba msamaha.. jamaa alipata ajali akadanja
 
Siku zote ugumu wa maisha huingiza watu matatani,Chawene wajali hao askari wako,hutosikia wakifanya maovu kama wafanyavyo.
Ni ushauri tu natoa, mimi kama raia wa nchi yangu Tz.
anajua vyema sana,ila anachofanya ni kile kile kama alichokifanya kangi.
 
Siku ungebahatika kufika chuo cha polisi na kujionea mafunzo wanayopewa,ungegundua tabia nyingine ya binaadamu(kubadilika).

chuo kinafundisha,mazingira ya kazi nayo yanatengeneza askari mwingine kabisa ambaye hajawahi kuhudhuria mafunzo.
 
unaona hapa pia kakurupuka,hii ndio tatizo la siasa na taaluma za watu[emoji3][emoji3].

anashindwa kujua kwamba jukumu la kuutangazia uma hali ya usalama wa raia na mali zake ni la polisi nchini,si taasisi nyingine.

kwahiyo kutokumwona askari wa zimamoto nyuma ya rpc haina maana taarifa rpc kaziokota kwenye njiapanda,zimeletwa mezani kwake na watu wa zimamoto wamepeleka maelezo.
 
Kweli mkuu

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
MH WAZIRI CONGS KWANZA AWALI YA YOTE UNGEDILI NA HAWA KWANZA
HII NDIO CHANNEL NZIMA YA JNIA TO UAE.DUBAI
1;OFISI YA WIZARA YA KAZI
HAWA VIIANA AWAJIKWABAHATI MBAYA WANADOCS ZA WIZARA YA KAZI

2;TOA WALE VIIJANA WALIOOPO WA WIZARA YA KAZI WALEE N VINUKA RUSHWA HAWANAKAZI PALE PEMBENI YA IMMIGRATION

3: BINAFSI NINGEHISHA BOSS WA IMMIGRATION
HAWAVIJANA HUINGIZWA CHUMBA CHA MABOSI KULIA CHA IMMIGRATION NA KAZI INAANZIA HAPO

4;WANAOFWATA N BADILISHA VIJANA WA USALAMA MARA KWA MARA WENGI WMEZOEA WANAJISAHAU
HAO WATOTO WAKIPANDA JUU KUSUBIRI NDEGE WANAHITIMISHA KUTOAPESA ZAO KWA POLISI NA...

HII CHA NEL N NDEFU MH G.S.CHAWENE
KAMPUNI ZINAZOSAFIRISHA NENDA PALE WIZARA A KAZI ZINAJULIKANA ZINGINE ZA WAH WALIOPITA
UKIFA NIIKIWA KUWABANA HAWA HATA FUKUZA FUKUZA HAITOKUWEPO MH WAZIRI CHANNEL N NDEFU SANA

HAO POLISI N BAADHI TU WAKOWENGI PALE .....
KILALAKHERI
 
Akisoma hii sms yako anaacha kazi[emoji38][emoji38].
 
 
Kwanini vijana kwenda kusaka ajira nchi za kiarabu kuwe ni kosa Hali hatuwezi, tumeshindwa wapa ajira nchini.
Pili binadamu sio mbuzi umuwekee fenci asiiondoke,utamzuia hapa ataondokea nchi jirani na kwenda atakapo.
Muhimu ni kuwatengenezea mazingira wezeshi bora ya wao kwenda kufanya kazi salama.
 
Labda waweke utaratibu kwanza waanzie uwanjani kupata ruhusa kwanza Kisha ndo wakakate pasipoti na viza kuliko kupoteza pesa kote huko then unazuiwa
 
Kama tumeshindwa hata kuwatengenezea mazingira ya ajira vijana wetu wa export hata nyanya nje,Basi tuexport madada wa kazi wakaleta pesa zisaidie familia zao, mshahara wa laki nane kwa mwezi mara miezi 3 akituma kijijini kwake wanajenga nyumba kubwa tu ya Bati huku akisomesha ndugu zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…