Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni vema viongozi tukajifunza kumalizia yale tuliyoyaanzisha kwenye maeneo tuliyotoka kabla ya kuhamia kwingine.
Mtukufu Simbachawene kwa kishindo kikuu, ulitoa maagizo kwamba Mtume na Nabii Mwingira atafutwe Popote alipo na ahojiwe kuhusiana na kauli zake kuhusu kunusurika kuuawa mara 3 na serikali ya Tanzania kwa maagizo kutoka juu, jambo lililoitikiwa kwa kishindo na RPC wa kanda Maalum aliyetoa masaa 24 kwa Mwingira kujisalimisha au kusakwa, sasa kwa bahati mbaya kabla hatujapewa taarifa yoyote umehamishwa wizara.
Nakuomba kabla haujaapishwa huko kwingine tueleze yaliyojiri kuhusu Sakata hili.
Natanguliza Shukrani.
Mtukufu Simbachawene kwa kishindo kikuu, ulitoa maagizo kwamba Mtume na Nabii Mwingira atafutwe Popote alipo na ahojiwe kuhusiana na kauli zake kuhusu kunusurika kuuawa mara 3 na serikali ya Tanzania kwa maagizo kutoka juu, jambo lililoitikiwa kwa kishindo na RPC wa kanda Maalum aliyetoa masaa 24 kwa Mwingira kujisalimisha au kusakwa, sasa kwa bahati mbaya kabla hatujapewa taarifa yoyote umehamishwa wizara.
Nakuomba kabla haujaapishwa huko kwingine tueleze yaliyojiri kuhusu Sakata hili.
Natanguliza Shukrani.