Simbachawene viatu vimekuwa vikubwa sana kwake?

Simbachawene viatu vimekuwa vikubwa sana kwake?

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amekuwa akitoa majibu na kauli zisizojitesheleza pale anapotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mambo ya msingi yanayohusu masuala ya amani na usalama ndani ya Taifa letu hasa ikizingatiwa yeye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Wizara inayosimamia Jeshi la Polisi.

Hapo jana akihojiwa na kituo cha ITV Waziri Simbacahwene ametoa majibu ya ajabu na yasiyoendana kabisa na "levo" ya Uwaziri.

Ameonesha yu mtupu sana katika kujibu hoja ngumu, asiyeweza kufanya kazi "under pressure" lakini pia asiye na ufahamu wa kutosha wa mambo yanavyoenda duniani.

Je, ni wakati sahihi wa Rais Samia kumtumbua Simbachawene kama alivyofanya mtangulizi wake JPM kabla ya kumrudisha tena?

Chawene.jpeg
 
Mbona alisema ukweli nyie mnataka uongo wewe umalize degree yako ulale nje eti unalinda benki wakati hata una akaunti kwenye hiyo benki, unabeba siraha siku nzima mshahara laki 3. hiyo kazi ya police inafaa walio feri f4 tena kwao nikijijini na nimasikini, walio kata tamaa,......sio mtu alie soma kwani hapo alikosea?
 
Ni kweli hana uwezo sio tu wa wizara hiyo bali totally anapaswa kupumzishwa...bado viongozi wetu wengi wako too mechanical wakati dunia iko zama zingine..

Kizazi kinachoongozwa sio kile tena cha 70's na 80's bali ni kizazi kingine kinachohitaji akili, maarifa na ubabe kukiongoza..
 
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amekuwa akitoa majibu na kauli zisizojitesheleza pale anapotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mambo ya msingi yanayohusu masuala ya amani na usalama ndani ya Taifa letu hasa ikizingatiwa yeye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Wizara inayosimamia Jeshi la Polisi. Hapo jana akihojiwa na kituo cha ITV Waziri Simbacahwene ametoa majibu ya ajabu na yasiyoendana kabisa na "levo" ya Uwaziri. Ameonesha yu mtupu sana katika kujibu hoja ngumu, asiyeweza kufanya kazi "under pressure" lakini pia asiye na ufahamu wa kutosha wa mambo yanavyoenda duniani.

Je ni wakati sahihi wa Rais Samia kumtumbua Simbachawene kama alivyofanya mtangulizi wake JPM kabla ya kumrudisha tena?

View attachment 1971958
Mwanafunzi mahiri hujibu maswali yote kwa usahihi. Mhe. ameonesha kutokuwa mahiri kwenye maswali magumu.
 
Mbona alisema ukweli nyie mnataka uongo wewe umalize degree yako ulale nje eti unalinda benki wakati hata una akaunti kwenye hiyo benki, unabeba siraha siku nzima mshahara laki 3. hiyo kazi ya police inafaa walio feri f4 tena kwao nikijijini na nimasikini, walio kata tamaa,......sio mtu alie soma kwani hapo alikosea?
Aliyekuaambia aliyefel form four hawana accounts kwenye hizo banks ninani??? Mishahara wanalipwaje????
 
Mbona alisema ukweli nyie mnataka uongo wewe umalize degree yako ulale nje eti unalinda benki wakati hata una akaunti kwenye hiyo benki, unabeba siraha siku nzima mshahara laki 3. hiyo kazi ya police inafaa walio feri f4 tena kwao nikijijini na nimasikini, walio kata tamaa,......sio mtu alie soma kwani hapo alikosea?
Acha kushikiwa akili ndugu yangu.Juzi tu hapa wamehitimu polisi 2030 waliokuwa wakichukua kozi ya mkaguzi msaidizi wa polisi(inspector-nyota 1) wengi wao walikuwa police wa vyeo vya chini.

Miongoni mwao 1 ana phd,wengine masters,digrii na 160's ndio walikuwa na diploma na kati yao ndio walikuwa walinzi wa bank wakilinda mali za wananchi.

Sasa wewe endelea na dharau yako ukiamini kila polisi unayemuona pale bank ni 'fom foo felia'.
 
Acha kushikiwa akili ndugu yangu.Juzi tu hapa wamehitimu polisi 2030 waliokuwa wakichukua kozi ya mkaguzi msaidizi wa polisi(inspector-nyota 1) wengi wao walikuwa police wa vyeo vya chini.

Miongoni mwao 1 ana phd,wengine masters,digrii na 160's ndio walikuwa na diploma na kati yao ndio walikuwa walinzi wa bank wakilinda mali za wananchi.

Sasa wewe endelea na dharau yako ukiamini kila polisi unayemuona pale bank ni 'fom foo felia'.
kupigishana kelele huku mitandaoni hakuna afya kabisa katika familia yako ,tumezoea watanzania wengi wao ni waropokaji tu wala hawajui kitu chochote kuhusu wanachoongea kwaiyo ni wapumbavu tu achana nao
 
kupigishana kelele huku mitandaoni hakuna afya kabisa katika familia yako ,tumezoea watanzania wengi wao ni waropokaji tu wala hawajui kitu chochote kuhusu wanachoongea kwaiyo ni wapumbavu tu achana nao
Sawa mkuu.
 
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amekuwa akitoa majibu na kauli zisizojitesheleza pale anapotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mambo ya msingi yanayohusu masuala ya amani na usalama ndani ya Taifa letu hasa ikizingatiwa yeye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Wizara inayosimamia Jeshi la Polisi.

Hapo jana akihojiwa na kituo cha ITV Waziri Simbacahwene ametoa majibu ya ajabu na yasiyoendana kabisa na "levo" ya Uwaziri.

Ameonesha yu mtupu sana katika kujibu hoja ngumu, asiyeweza kufanya kazi "under pressure" lakini pia asiye na ufahamu wa kutosha wa mambo yanavyoenda duniani.

Je, ni wakati sahihi wa Rais Samia kumtumbua Simbachawene kama alivyofanya mtangulizi wake JPM kabla ya kumrudisha tena?

Ufanyike utafiti wa kina kujua viongozi wanaotokea Dodoma wanashida gani, Woofer amekuwa na kauli za ajabuajabu na kigeugeu, huyu naye ndiyo huyo!!! hivi anajua kuwa maadui wa ndani na nje watatumia kauli zake kuharibu usalama wa nchi!!!
 
Niliwahi mfanyia mahojiano wakati fulani, ni mtu makini na anajua kuzipangua hoja, Tatizo naloliona ni "Jazba" kuchukua nafasi! Matokeo yake watu wanashindwa kuelewa msingi wa ufafanuzi wa hoja tajwa, yaani badala ya kutoa majibu ndio kwanza unazalisha mjadala usiokua na lazima! Ukitazama mahojiano mazima utapata picha ya nini nazungumzia hapa kuanzia body language na content nzima!
 
Niliwahi mfanyia mahojiano wakati fulani, ni mtu makini na anajua kuzipangua hoja, Tatizo naloliona ni "Jazba" kuchukua nafasi! Matokeo yake watu wanashindwa kuelewa msingi wa ufafanuzi wa hoja tajwa, yaani badala ya kutoa majibu ndio kwanza unazalisha mjadala usiokua na lazima! Ukitazama mahojiano mazima utapata picha ya nini nazungumzia hapa kuanzia body language na content nzima!
Ninacho jiuliza ni hiki (kama kweli huyu ni mtu makini kama unavyo sema) Kipindi cha dakika 45 is kipindi live, ni recorded, kwa wadhifa alionao angeweza kuiomba ile CD akaisikilize na watu wake kabla kipindi hakijaruka hewani then wakijiridhisha ndio wangeweza kuruhusu kitufikie WALAJI, hapo UMAKINI uko wapi? Najiuliza sana kuhusu hili hata mimi mkuu.

Ingawa to some extend naweza kukubaliana na waziri kuhusu police, siku moja tulikua na mkutano na meja mstaafu wa jeshi, alistaafu mwishoni mwa miaka ya 90 na alikua pale kambi ya anga, naomba nilihifadhi jina lake huyu MEJA mstaafu wa JWTZ, alikua akilalamikiwa na timu yake (alikua anaongoza kampuni moja ya ulinzi sehemu ) kwamba anapendelea sana vijana wa kutoka mkoani kwake MARA hasa wilayani BUNDA na tena wana uwezo mdogo sana kulinganisha na wengine, siku moja akiwa kwenye kikao alisema hivi, "vijana, chunguzeni duniani kote, wasomi jeshini hua hawapandishwi sana vyeo, vyeo vingi hua vinaanzia na watu wenye elimu ya kawaida sana" now either iwe ni kweli au sio kweli that's another topic but the question remain, why majibu yafanane kwa watu ambao hawana mawasiliano!? Yaani Simbachawene na meja Nyamakababi!?
 
Ninacho jiuliza ni hiki (kama kweli huyu ni mtu makini kama unavyo sema) Kipindi cha dakika 45 is kipindi live, ni recorded, kwa wadhifa alionao angeweza kuiomba ile CD akaisikilize na watu wake kabla kipindi hakijaruka hewani then wakijiridhisha ndio wangeweza kuruhusu kitufikie WALAJI, hapo UMAKINI uko wapi? Najiuliza sana kuhusu hili hata mimi mkuu.

Ingawa to some extend naweza kukubaliana na waziri kuhusu police, siku moja tulikua na mkutano na meja mstaafu wa jeshi, alistaafu mwishoni mwa miaka ya 90 na alikua pale kambi ya anga, naomba nilihifadhi jina lake huyu MEJA mstaafu wa JWTZ, alikua akilalamikiwa na timu yake (alikua anaongoza kampuni moja ya ulinzi sehemu ) kwamba anapendelea sana vijana wa kutoka mkoani kwake MARA hasa wilayani BUNDA na tena wana uwezo mdogo sana kulinganisha na wengine, siku moja akiwa kwenye kikao alisema hivi, "vijana, chunguzeni duniani kote, wasomi jeshini hua hawapandishwi sana vyeo, vyeo vingi hua vinaanzia na watu wenye elimu ya kawaida sana" now either iwe ni kweli au sio kweli that's another topic but the question remain, why majibu yafanane kwa watu ambao hawana mawasiliano!? Yaani Simbachawene na meja Nyamakababi!?
Mkuu, Mahojiano yakisha fanyika hakuna chombo (Kwa uzoefu wangu) kinacho ruhusu kumpa mtu binafsi maudhui kabla hayajaruka hewani, Umakini wa Ndg. George Simbachawene hauwezi kupimwa kwa mahojiano ya saa moja! Pengine alikua na "Jet Lag Disorder" si uliskia alisema alikua jana yake safari toka Uswiss? (Tu-Assume)

-Umesema kwamba angepatiwa maudhui akayasikilize na "Watu wake" kisha "wajadili" wakiona yanafaa ndio wayarudishe sio?, Mkuu..Katika nyanja hizi za kidigitali hakuna Mahojiano yanayofanyika namna hiyo unless Wafungue kituo chao wahariri maudhui kadri watakavyo .

Binafsi ni Muumini sana wa "Provocative Questions" maswali ya uchokozi yale, Pengine aina ya majibu aliyotoa Mh. huenda alitaka iwe kama ilivyotokea kwamba sote tunamjadili ..ili azidi kutoa ufafanuzi, Who knows?

-Kama unafuatilia mifumo ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama sidhani kama unapaswa kushangaa ufafanuzi alioutoa Mh. Waziri na Uhalisia wenyewee, Hata JWTZ kuna kipindi ilikua kuanzia Darasa la 7- Form 4 ukipata ajira jua ukipanda sana cheo utaishia "Korokoni" au Sajenti au Staff Sergeant, Huo ndio ukweli.. Wengi watakao mlaumu kwa hili nadhani watakua hawatendei haki! No wonder unastaajabu alichokisema Meja Mstf Nyamakababi (Japo ulikataa kumtaja kwenye andiko lako lakini mwishoni umemtaja, Umemlipua sio? Na ufafanuzi alioutoa Simbachawene nadhani umepata picha!!
 
Maheshi yote Afrika huwa yanaajiri wasio na upeo wa kuelewa mambo (vikaza) ili yaendelee kuwa matiifu kwa watawala na mambo yao ya hovyo
 
Ukweli unatakiwa usemwe kwa busara ya hali ya juu. Mf. Mtu aliyeshika mpini wa mkuki nawe umeshika makali huwezi kumuudhi , atakufyeka. Huku ukiwa umeshika makali , tumia ujanja uhakikishe umeachia makali ili umpe ukweli.
 
kupigishana kelele huku mitandaoni hakuna afya kabisa katika familia yako ,tumezoea watanzania wengi wao ni waropokaji tu wala hawajui kitu chochote kuhusu wanachoongea kwaiyo ni wapumbavu tu achana nao
Waziri ndio kasema form four failures ndio walinda benki. Kwa hiyo huo upumbavu kama unavyodai anao waziri wao.
 
Back
Top Bottom