Simbank ni trade mark ya crdb bank.Daaa mzee yaani hata kutaja Aina ya Bank umekausha kabisaaa?
BTW kwa nini hamtumii mobile app?
Benki gani?Wakuu, Leo mbona simBank inasumbua hivi.. shida ni nini au ni kwangu tu.. hautaki kutuma pesa kabisa dadeq halafu wanakata tu pesa za Salio🤔🤔
Ingia Play Store then download App ya benki husika, huduma kama salio ni bure(bundle lako tu).Wakuu, Leo mbona simBank inasumbua hivi.. shida ni nini au ni kwangu tu.. hautaki kutuma pesa kabisa dadeq halafu wanakata tu pesa za Salio🤔🤔