Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Wanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu, Gabriel Gerald Geay na Emanuel Giniki Gisamoda wanatarajia kuhudhuria kwenye kikao cha Uwasilishwaji wa makadirio ya Bajeti ya mapato na matumizi ya wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bungeni jijini dodoma Jumatatu ya Tarehe 6 Juni 2022.
Wanariadha hao , Tayari wamefikia viwango vya kukimbia mashindano Makubwa ya dunia pamoja na mashindano ya Jumuiya ya Madola.
Emanuel Giniki Gisamoda na Gabriel Gerald Geay, wao wanatarajia kuiwakikisha nchi kwenye Mashindano ya Dunia Eugene, Oregon Marekani 15 Julai Hadi 24 julai 2022.
Simbu na wanariadha Wengine watatuwakilisha kwenye mashindano ya Jumuiya ya Madola (Commonwealth Games) yatakayofanyika Birmingham, Uingereza Julai 28 Hadi Agosti 8 Mwaka huu.
Wanariadha hao , Tayari wamefikia viwango vya kukimbia mashindano Makubwa ya dunia pamoja na mashindano ya Jumuiya ya Madola.
Emanuel Giniki Gisamoda na Gabriel Gerald Geay, wao wanatarajia kuiwakikisha nchi kwenye Mashindano ya Dunia Eugene, Oregon Marekani 15 Julai Hadi 24 julai 2022.
Simbu na wanariadha Wengine watatuwakilisha kwenye mashindano ya Jumuiya ya Madola (Commonwealth Games) yatakayofanyika Birmingham, Uingereza Julai 28 Hadi Agosti 8 Mwaka huu.