Simcard (laini) kampuni ya uwakala

Simcard (laini) kampuni ya uwakala

Ben god

New Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Hello friend i hope mko poa. Naomba ushauri juu ya wazo langu.

Kuna fursa nimeiona kitaa kuna tatizo la kutoa/kutuma pesa kwenda mtandao mwingine. Sababu ya tatizo hilo ni baadhi ya maeneo kuwa mtandao mmoja wa simu na gharama kubwa za kutuma pesa kwenda mtandao mwingine .

Mimi nataka kutengeneza laini zangu as kampuni na kuzisambaza kwa watu kwa ajili ya kutoa/kutuma pesa kwa mitandao yote kwa gharama sawa.

Maswali yangu
1. Naweza kutengeneza kampuni yangu na kuwa na simcard kwa ajili hiyo?
2. Naweza kutengeneza network/kushare na kampuni nyingine?

Mawazo yako no muhimu sana. Ahsante.
 
Haiwezekan, mmiliki wa laini ya simu ndio inabidi taarifa ziwe kwenye laini hiyo na sio taarifa zako ... Kama mtu anahitaji kuwa wakala inabidi aende mwenyewe akasanili laini ya uwakala.


Nimeshuhudua watu wengi wakipoteza mitaji Yao ya maaana kwa kupoteza laini zao za uwakala zisizo na taarifa zao. Issue inakuja kwenye kurenew hiyo laini...
 
Back
Top Bottom