Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Karani wa Chama cha Msingi cha Ushirika amedaiwa kujinyonga kwa kinachoelezwa ni kukosa msaada wa kuzimwa kwa kesi yake ya ubadhirifu wa fedha za wakulima wa pamba licha ya kuhonga rushwa mara kwa mara.
Kamanda wa Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda amesema: “Alikuwa na kesi TAKUKURU, ameacha ujumbe ulioeleza kuwa ameamua kujiua kwa sababu ametoa hela mara kwa mara kupunguza ili kuondoa kesi hiyo, lakini hakuna mafanikio.”
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza uchunguzi ufanyike kujua kilicho nyuma ya pazia kuhusu kiufo hicho
Kamanda wa Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda amesema: “Alikuwa na kesi TAKUKURU, ameacha ujumbe ulioeleza kuwa ameamua kujiua kwa sababu ametoa hela mara kwa mara kupunguza ili kuondoa kesi hiyo, lakini hakuna mafanikio.”
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza uchunguzi ufanyike kujua kilicho nyuma ya pazia kuhusu kiufo hicho