Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Simiyu. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengineMkoa wa Simiyu ni mojawapo ya mikoa ya Tanzania, ulioko kaskazini-magharibi mwa nchi. Mkoa huu ulianzishwa rasmi mwaka 2012 baada ya kugawanywa kwa Mkoa wa Shinyanga. Simiyu umepewa jina kutokana na mto Simiyu ambao hupita katika maeneo yake. Makao makuu ya mkoa huu yapo mjini Bariadi.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA SIMIYU
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.
Idadi ya watu
Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Simiyu ulikuwa na jumla ya wakazi wapatao 1,856,176.
Wilaya za mkoa wa Simiyu
- Bariadi – Makao makuu ya mkoa wa Simiyu
- Meatu
- Maswa
- Itilima
- Busega
Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Simiyu una jumla ya majimbo ya uchaguzi Saba
- Bariadi
- Busega
- Itilima
- Meatu
- Maswa Magharibi
- Kisesa
- Maswa Mashariki
- Kuelekea 2025 - LGE2024 - Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Simiyu
- Uchaguzi Serikali za Mitaa: Hakuna kupita bila kupingwa, atakapopatikana mgombea mmoja, atapigiwa kura za ndiyo au hapana
- Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
- Kuelekea 2025 - LGE2024 - Simiyu: CHADEMA yapata pigo Wanachama 60 wahamia CCM
- Je Wananchi wamegoma kujiandikisha Daftari uchaguzi serikali za mitaa? Na hii ni hali ilivyo baadhi ya vituo Wilaya ya Bariadi na Maswa
- LGE2024 - Simiyu: Watumishi NMB wahimizwa kujiandikisha orodha ya wapiga kura uchaguzi Serikali za Mitaa.
- LGE2024 - CHADEMA Simiyu wachukua fomu, wasema "Safari hii hatutakimbia, watakimbia wenyewe"
- LGE2024 - Mkuu Wa Mkoa Simiyu: Mwananchi ukishapiga kura rudi nyumbani ukalale. Mambo ya Uchaguzi achia mamlaka za Uchaguzi!
- LGE2024 - Simiyu: Mch. Msigwa adai CHADEMA hawana uhalali wa kumkosoa Rais Samia
- LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
- LGE2024 - CCM Mkoa wa Simiyu: Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- LGE2024 - Nape: Kimebaki chama kimoja tu vingine vyote ni kopi. Niliwaambia wapinzani Refa akishaweka mpira kati ni Goli!
- LGE2024 - Msidanganyike, Pesa za TASAF si pesa za CCM
- LGE2024 - Simiyu: ACT Wazalendo wavalia njuga sakata la uhaba wa maji huko Busega. Awataja viongozi wa CCM kuhusika!
- LGE2024 - Shemsa asisitiza umuhimu wa Uchaguzi katika maendeleo
- LGE2024 - Hali ilivyo Upigaji Kura Meatu na Itilima Mkoani Simiyu, leo Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Simiyu: RC Kihongosi ahamasisha Wananchi kujitokeza kupiga Kura na kuepuka kusalia Vituoni
- LGE2024 - Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu ahamasisha wananchi kupiga kura
- LGE2024 - Hali ilivyo Upigaji Kura Meatu na Itilima Mkoani Simiyu, leo Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Halmashauri ya Mji Bariadi yautaka Umma kupuuza taarifa za upotoshaji za uwepo wa kura feki