Simiyu: Mwandishi akamatwa na Polisi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mwandishi Constatine Mathias akamatwa na Polisi Simiyu

Mwandishi Constantine mathias wa uhuru media wa Mkoa wa Simiyu amekamatwa na jeshi la polisi jana usiku Juni 17.06.2024.

Baada ya kukamatwa Polisi walikwenda kukagua Nyumbani kwake na wakachukua vifaa vyake vyote vya kazi ikiwemo simu la laptop yake.

Inasemekana mwandishi huyo naye kasafirishwa kupelekwa Mwanza.

Tumeongea na viongozi wa Simiyu wamethibitisha tukio hilo, lakini pia wakili wetu aliye Mwanza ameanza kufuatilia tukio hilo.

Tutazidi kujuzana

18.06.2024

~ Hii kamatakamata ya Waandishi wa Habari na ukimya wa Polisi, ni hatari kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari
 
Mwandishi Constatine Mathias akamatwa na Polisi Simiyu

Mwandishi Constantine mathias wa uhuru media wa Mkoa wa Simiyu amekamatwa na jeshi la polisi jana usiku Juni 17.06.2024.

Baada ya kukamatwa Polisi walikwenda kukagua Nyumbani kwake na wakachukua vifaa vyake vyote vya kazi ikiwemo simu la laptop yake .

Inasemekana mwandishi huyo naye kasafirishwa kupelekwa Mwanza .

Tumeongea na viongozi wa Simiyu wamethibitisha tukio hilo , lakini pia wakili wetu aliye Mwanza ameanza kufuatilia tukio hilo.

Tutazidi kujuzana

18.06.2024
nilitaka kushangaa mwandishi wa uhuru media akamatwe na nani wakati mmiliki ni ccm/serikali. Ila kwa ile ishu ya yule ex- rc sishangai. Yule mkubwa kukumbwa na sakata lile si kawaida kuna namna
 
Mwandishi Constatine Mathias akamatwa na Polisi Simiyu

Mwandishi Constantine mathias wa uhuru media wa Mkoa wa Simiyu amekamatwa na jeshi la polisi jana usiku Juni 17.06.2024.

Baada ya kukamatwa Polisi walikwenda kukagua Nyumbani kwake na wakachukua vifaa vyake vyote vya kazi ikiwemo simu la laptop yake.

Inasemekana mwandishi huyo naye kasafirishwa kupelekwa Mwanza.

Tumeongea na viongozi wa Simiyu wamethibitisha tukio hilo, lakini pia wakili wetu aliye Mwanza ameanza kufuatilia tukio hilo.

Tutazidi kujuzana

18.06.2024
Uhuru Media si chombo cha Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom