Waarabu mnakulana Dada na Kaka sio Simiu hukoWewe wacha uzushi mnaoowana dada na kaka Simiu huko usisingizie Waarabu.
Binamu nyama ya hamu.Binamu je?
Dunia ina mambo.Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Shija (33) na Hollo Shija (35) miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama mke na mme kwa zaidi ya miaka sita wakijua kuwa ni ndugu wa damu.
Wakazi hao wa Kijiji Cha Mandang'ombe Wilayani Maswa walihukumiwa jana Agusti 14, 2024 na Hakimu mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo Enos Misana, ambapo ilidaiwa mahakamani hapo kuwa watuhumiwa hao walifanikiwa kupata mtoto mmoja mwaka 2022.
Katika jinai namba 26634/2024 iliyokuwa inawakabili watuhumiwa hao ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mashitaka ya Taifa wilaya ya Maswa, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Vedastus Wajanga kuwa walitenda makosa hayo tarehe na miezi tofauti kati ya mwaka 2018 hadi Julai 2024 katika kijiji cha Mandang'ombe wilayani humo.
Chanzo: Habari Leo
Utasema utachoka, habari inasema Simiyu.Waarabu mnakulana Dada na Kaka sio Simiu huko
Kumbe wewe ni shombe la kiarabu....mashaallah.Uongo huo.
Tupo wenyewe hapa, Waarabu wa kuchovya.
Ila mjomba anatoa mtoto wa dada yakeWaarabu wengi wa Tanzania ni Waislam na Waislam hawaoani dada na kaka.
Usizuwe.
hahaha!hawa watashinda hii kesi wakikata rufaa!wamehukumiwa kwa kosa gani katika katiba?wanasheria mlipo huku mtujuzeMahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Shija (33) na Hollo Shija (35) miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama mke na mme kwa zaidi ya miaka sita wakijua kuwa ni ndugu wa damu.
Wakazi hao wa Kijiji Cha Mandang'ombe Wilayani Maswa walihukumiwa jana Agusti 14, 2024 na Hakimu mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo Enos Misana, ambapo ilidaiwa mahakamani hapo kuwa watuhumiwa hao walifanikiwa kupata mtoto mmoja mwaka 2022.
Katika jinai namba 26634/2024 iliyokuwa inawakabili watuhumiwa hao ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mashitaka ya Taifa wilaya ya Maswa, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Vedastus Wajanga kuwa walitenda makosa hayo tarehe na miezi tofauti kati ya mwaka 2018 hadi Julai 2024 katika kijiji cha Mandang'ombe wilayani humo.
Chanzo: Habari Leo
Ndugu wa damu kuona ni hatari sana kwa jamii sababu ya risk ya kuketa ‘Homogeneity’ kwenye vinasaba vya watoto ambapo vinaweza kusambaa kwenye jamiii vizazi na vizazi. Magonjwa mengi ya vinasaba kama ‘Sicke celled anaemia’ (seli mundu), ‘Albinism’ (Ualbino) huwa hayajionyeshi wala kuonekana kwa watu wengi sababu ipo katika hali ya (Heterogeinity), ili yasije kulipuka kuptia ‘Homogenous’ combinations, watu wanatakiwa kwenda kuoa mbali na ukoo wao iwezekanavyo.kuna sheria inakataa ndugu kuoana...??
Hakuna hiyo, usijidanganye. Sema mtoto wa Mjomba na shangazi wanaoana. Rukhsa.Ila mjomba anatoa mtoto wa dada yake
Muwe mnasoma kwanza hizo sheria kabla ya kuja kuandika hapa. Jf sijui siku hizi inakuwajeKwa Nini waarabu wanaoana dada na kaka na hawawafungi?
Kwa hio Wewe binamu yako anakutafuna?Binamu nyama ya hamu.
Kosa katika katiba? Umeandika nini hapa?hahaha!hawa watashinda hii kesi wakikata rufaa!wamehukumiwa kwa kosa gani katika katiba?wanasheria mlipo huku mtujuze
Simiu au Simiyu? Na waarabu pia ndio michezo yaoUtasema utachoka, habari inasema Simiyu.
Hujaipenda?
mkuu, nimemaanisha katiba inasemaje kuoana ndugu?je kuna kosa wamevunja katika katiba yetu?Kosa katika katiba? Umeandika nini hapa?
Basi unatamaaaniKumbe wewe ni shombe la kiarabu....mashaallah.
Wakikata rufaa wanachomoa hio kesi wapate mwanasheria mzuri tuKosa katika katiba? Umeandika nini hapa?
Mkuu kama DNA analysis ingefanyika hawa angekuwa na vinasaba vya nani? si adam.! kumbuka part of adam's body was used to make eve,!Kitabu gani hiki?