Simlaumu alieshindwa kusoma kiapo, Urais unatisha, Rais anatisha na Rais Magufuli anatisha zaidi

Mbona kuna vitoto vya sekondar na wakulima huwa wanakutana nae wanaongea vzr kabisa!??

Au ndo kusoma kwingi kunaondoa maarifa!?
Woga au anxiety ni kitu kinawakuwa watu wote kwa wakati wao hata wewe Kuna angle ukiingia au ukiguswa woga unakushika
 
Jpm anatisha hadi lisu na genge lake wamekimbia nchi sasa ukiwa raia ukakuta na zile jemba za TISS zimepiga bunduki zao za kiisrael na miwani ya badaboda kuku ikiitana kwa code za airplanes lazima ukae
ona utoto unao zungumza sasa
 
Kiufupi siombei kukutana na Rais magufuli Bora nikutane na Mzee magufuli maana atanichukulia Kama mjukuu wake au mwanae lakini kukutana na hiyo tittle yake utakuwa umekutana na amiri jeshi mkuu wa majeshi.
Huyo ni binadamu tu,ya nini kumtetemekea?
 
Wote mumesahau kuwa dhuluma siku zote huikosesha nafsi ujasili wa maamuzi. Yule jamaaa mtamsema muwezavyo ila nafsi yake imekataa dhuluma. Katka Dunia hii. Kuna watu hawataki dhuluma hata umushikie bunduki.!!Mpongezi kwa kuthubutu kuonyesha matendo ya nafsi. Jiulizeni kwanini mtu anateuliwa halafu mwisho wa siku anajiuzulu kiroho Safi. Naamini katika kipindi ambacho watu watakataa uteuzi basi ni hiki ila kwasabb vetting ni sir basi. Lakini those who vett have an answer on this!!Dunia hii kuna watu makini kwasabb wamelelewa vizr sana!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Mbona kuna vitoto vya sekondar na wakulima huwa wanakutana nae wanaongea vzr kabisa!??

Au ndo kusoma kwingi kunaondoa maarifa!?
Tanzania mtu anaweza kuwa na tatizo la macho tu anahitaji miwani, kashindwa kusoma vizuri.

Sikilizia hizo stories za watu sasa.
 
Kikwete aliwahi kuanguka jukwaani ,mkapa akamalizia hotuba

Fatique ni kawaida sana
 
Mkuu,wengine humu hawana chembe ya huoga Yani wanakua nae na wanatema cheche, tena Kama mh Heche, aliwai tema cheche kaweka mkono mfukoni,
 
Wa kawaida tu mbona!!!
Hata baba angu namuogopa kuliko yeye.
 
Hahahaaaaa yaani kichwa Cha habari kimenichekesha
Kweli umetisha mtoa mada
Mheshimiwa Rais mkali jamani inawezekana ikawa sababu
Babu yangu alikuwa mkali mama anasema akikohoa tu unajikojolea
 
Jk muda wote anatabasamu
Huwezi kumlinganisha na Magu weww
 
Wewe ni kiazi kama mwenzako .

Shetani anatisha ila tunamkemea hatumuogopi.
Sembuse meko?
Sasa meko anatisha nini????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…