Simon Msuva, Shomari Kapombe warejeshwa kikosini Taifa Stars kufuzu AFCON 2025

Simon Msuva, Shomari Kapombe warejeshwa kikosini Taifa Stars kufuzu AFCON 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mshambuliaji Simon Msuva, Beki Shomari Kapombe na Mlinda mlango Aishi Manula wamerejeshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025.

Taifa Stars itacheza dhidi ya Ethiopia, Novemba 16 na dhidi ya Guinea, Novemba 19, Benjamin Mkapa.

Kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea.
1730885448403.png
 
Kidogo naona wameitwa wengi wanaostahili japo sikuona sababu ya kumuacha Tanzania one wa sasa Ally Salim
 
Hii timu ya kipumbavu hainamaana yoyote.Taifa stars ikipigwa sisikitiki kama inavyofungwa simba.
Mimi timu yangu ya Taifa ni SIMBA wengine ni takataka.
 
Mshambuliaji Simon Msuva, Beki Shomari Kapombe na Mlinda mlango Aishi Manula wamerejeshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025.

Taifa Stars itacheza dhidi ya Ethiopia, Novemba 16 na dhidi ya Guinea, Novemba 19, Benjamin Mkapa.

Kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea.
Chrispin ngushi unamuachaje!
 
Habib Khalid,kiswanya na Nado wameitwa wakafanye nini National team?
 
Hii kitaalamu tunasema mfa maji haachi kutapatapa.
 
Back
Top Bottom