Simshauri mtu yeyote kuweka fedha benki kwa Tanzania ya sasa, ni hasara sana!

Interest ipo juu kwa sababu ya inflation na pia currency yetu si hard currency. Yaani inaweza kuporomoka au lolote laweza kutokea. Kwahiyo kama inflation rate ni 6 0r 7% unadhani benki zitafanyaje?

They should at least double the interest rate na si kutripplicate au quadruplicate....tz interest ni majanga. Unabisha kwa sababu umeumbwa kuwa hivyo.
 
They should at least double the interest rate na si kutripplicate au quadruplicate....tz interest ni majanga. Unabisha kwa sababu umeumbwa kuwa hivyo.
Ukisema wadouble unatumia formula gani? Inawezekana hata ikawa chini ya hapo lakini kuna maswali kadhaa. Ok una inflation ambayo at times inaweza kufikia asilimia 10%, kuna default risks (mtu hawezi kulipa mkopo) na hakuna credit rating agency, tunapoishi hapaeleweki, currency inafluctuate inawezekana wao wameinvest kwenye other currency, kuna administration costs, rents, electricity and other running costs. Kubwa zaidi waliiowekeza fedha zao wanataka return unafanyaje? Lingine legal institutions ni weak. Mtu akidefault hata ukitaka ku-repossess assets zake kama security it could take ages. Kwahiyo kinachofanyika licha ya kwamba macroeconomic issues ni weak mabenki wanadistribute risks.
 
Pengine ungerekebisha kichwa cha habari "Kuweka benki hela kwa Tsh maana ukiweka kwa US$ hakuna Tatizo"
 
Pengine ungerekebisha kichwa cha habari "Kuweka benki hela kwa Tsh maana ukiweka kwa US$ hakuna Tatizo"

Ni kweli, lakini pia niliona gharama za administration za foreign currency account ni kubwa mno! Kuna wakati nilifunga account na benki moja kwa sababu walipandisha gharama zao hadi USD25/month. Sasa imagine unalipia gharama za benki sawa na Tshs 50,000 kwa mwezi, nikaona bawa langu sio kubwa ngoja nilikimbize!
 
Ukiwekeza kwenye low risk investment, return ni ndogo pia na inamezwa na inflation na other running costs, kwahiyo itakuwa ni kama benki. Unless uje hapa useme unamaanisha nini kusema low risk areas kwa Tanzania ambapo return itakuwa nzuru.
Kwenye mfumo wa NBC si mfumo wa biashara ya sasa. NBC ilikuwa inamilikiwa na serikali. Dhamana za serikali na transaction nyingi zilipita huko na ndio ukiritimba ule. NBC wakati wake ni mwingine kabisa, technology haikuwepo, ni mafaili mengi, state ownership/control na siasa nyingi. Kwa ujumla tulikuwa kwenye mfumo wa siasa ya ujamaa na kujitegemea. Watu wanaiba saana na hakuna usalama.
Mabenki yanaleta ushindani na upatikanaji wa huduma. Lakini ukiangalia saana upande wa mabenki angalia wale walioweka fedha zao, wawekezaji. Kuna dhana ya capital requirements et al. Hawa watu unataka wapate kiasi gani kwa pesa walizoweka? Maana siku ya siku ni lazima utambue kuna shareholders wakati unajadili. Naomba tuje na uhalisia interest rate sahihi ingekuwa ni ipi? Hapa tufikirie spread ya interest ya savers au aina yoyote ya account na borrowers, hiyo ndio faida. Kisha tuigawe kwa shareholders, running costs, reserves etc. na tukubaliane ipi ni fair?
 

Hata usipo save, pesa ikiingia tu ndani ya dakika 2 wao wanazalishia pesa hio hio, usizani kwamba ile pesa unayo weka bank inawekwa kwenye sanduku yako,no one using. Lol think
 
Hata usipo save, pesa ikiingia tu ndani ya dakika 2 wao wanazalishia pesa hio hio, usizani kwamba ile pesa unayo weka bank inawekwa kwenye sanduku yako,no one using. Lol think

Kijana seems huelewei kinachoongelewa, saving haimaanishi hela yako isipitie bank, inamaanisha hela yako iwe kwenye mizunguko muda mwingi zaidi ya kuwa bank! ndo maana watu mnahizimizwa kutafuta pa kuwekeza/kufanyia kazi hela yako instead ya hela kuendelea kukaa tu bank!
 
Mimi nimeamua kutunza pesa zangu kwenye SACCOS ya mkurugenzi ndo haina makato ya mwezi na ukikopa riba yake ni ndogo. Karibu Biharamulo
 
Unaongelea Fixed Deposit au Current Account mdau?
Mbona naona faida ipo tena kubwa tu au unaongelea aina fulani ya bank? Hebu niweke wazi.
kweli ,huyu mdau sijamuelewa kwa upande mwingine. kwahiyo unashauri wenye currrent account nao tusiweke fedha bank? can you emagine mtu anakiasi cha mil 200 kwenye account aweke wapi sasa?. au unazungumzia kwa wale wenye salary account . pia makato ni ya juu ndiyo,ila cost ya kutoweka hela bank ni kubwa kuliko kuweka pesa bank .hapa nikizungumzia risk( wizi au kushindwa kuweka akiba.......
cc to mtoa maada
 
youur 98% right
 
Unaongelea Fixed Deposit au Current Account mdau?
Mbona naona faida ipo tena kubwa tu au unaongelea aina fulani ya bank? Hebu niweke wazi.

Naomba ushauri wako,ni Bank ipi yenye faida kubwa?
 


Kama nimekupa hela uizungushe halafu unaikata the so called bank charges.
Na hiyo hela inakurudishia faida kubwa at 20%.
Hii ni fair.
 
Kama nimekupa hela uizungushe halafu unaikata the so called bank charges.
Na hiyo hela inakurudishia faida kubwa at 20%.
Hii ni fair.

kama bank unapata 20% faida (tena kwa saving account) endelea kuweka hela bank,
 
kama bank unapata 20% faida (tena kwa saving account) endelea kuweka hela bank,


Nikimaanisha kwamba hela yangu inawaingizia benki 20% ila mimi wanakata bank charges.
 
Ni kweli kutokana na high inflation rate (ongezeko la bei) na kushuka kwa thamani ya shilingi, nadhani serikali na benki kuu ingeshusha interest rate kwa sasa pia nadhani njia mbadala ya kuweka fedha benki unaweza kununua hisa au bonds
 

Hakupata elimu tosha ya akaunti gani afungue.
Kuna akaunti za watoto huwa hazina charges acheni kudanganyana huko mtaani.
 
Hakupata elimu tosha ya akaunti gani afungue.
Kuna akaunti za watoto huwa hazina charges acheni kudanganyana huko mtaani.


Hata kama.
Saving account ilitakiwa iongezeke na sio kupungua.
 


Nnakubaliana na wewe kwenye hilo la kununuwa assets (viwanja, shamba, nyumba) badala ya kuweka benki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…