Simtank au Kiboko

Rose Of Africa

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2020
Posts
228
Reaction score
96
Habari wana JF

Swali langu, aina gani ya Tank la maji kati ya Simtank na Kiboko ni Bora na Imara na linalodimu kwa kuhifadhia maji

Karibuni....
 
Kwa sasa hivi polytank ndiyo wanaongoza baada ya simtank kupunguza thickness, namba 2 ni Simtank, then wengine wanafuatia. Hii ni uzoefu wa mafundi wengi na wafanyakazi wa kampuni zinazouza hayo matank
 
Habari wana JF

Swali langu, aina gani ya Tank la maji kati ya Simtank na Kiboko ni Bora na Imara na linalodimu kwa kuhifadhia maji

Karibuni....

Pita na Simtank bila kupoteza muda Mkuu nimekua mteja wao kwa miaka 10 iliyopita, sina majuto! Uamuzi ni wako!
 
Yote ni Mazuri mkuu.

Hayana tofauti kabisa.

Kikubwa kama upo Dar uende kwenye Offisi zozote utakazo penda.
Ukachukue tank lako..

N:B
KIKUBWA NI UJENZI WA WATER TOWER IMARA.
FUNDI PLAMBER MZURI.
Kwani lazima iwe tower ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…