Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 655
- 1,069
Wadau polen na majukum
Kuna simu nimeziona pale kikuu zina ram ya kutosha na internal gb nzur sn halaf bei ya kawaida nikasema ngoja nililete hapa kwa wajuvi mtujulishe juu ya ubora na uimara za hiz simu
Naomba wataalamu wa simu mtufafanulie zaid natuma na sceen shot zake
Simu feki hzo bro. Achana nazo ohooo
Oppo au Vivo vp hizi mkuu?Simu fake hzo. Achana nazo kabisa. Mbn kuna simu nzuri tu za Oppo na Xiaomi kwa bei hyo hyo Aliexpress
Oppo na vivo ziko sawa ila kuzipata kikuu kuna walakini.Oppo au Vivo vp hizi mkuu?
Iyo aliexpress inakuwaje kwa sisi watu waSimu fake hzo. Achana nazo kabisa. Mbn kuna simu nzuri tu za Oppo na Xiaomi kwa bei hyo hyo Aliexpress
Iyo aliexpress inakuwaje kwa sisi watu wa
kawaida