Phone4Sale Simu aina ya Samsung S8 inauzwa

Mungu akuinulie wateja wenye offer nzuri kuliko utegemeavyo
 
Kama bado mpya,mtu akijichanga vizuri anapata kitu kinyemi kabisa.

Unaturingishia kuwa una simu Samsung siyo?

Hongera lakini.

Au yule Eliza wa Buza anataka umlipe?

Acha kudonyoa vya watu kwa mikopo.

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sio simu ya mchongo kweli hiyo? Mbona hiyo bei haiendani na ukweli
 
Bei rahisi mpaka nahisi hii simu sio salama


Hakikisha unatoa na risiti yake kabisa ...


Vinginevyo hio Bei inaogopeshaaa
 
Jiandaeni kwenda kulipa million na zaidi oysterbay pale😂 kwa yeyote ambaye anaona ni rahisi kuuziwa simu ya laki 4.5 kwa 250k na ainunue atakuja kushuhudia hapa
 
Jiandaeni kwenda kulipa million na zaidi oysterbay pale[emoji23] kwa yeyote ambaye anaona ni rahisi kuuziwa simu ya laki 4.5 kwa 250k na ainunue atakuja kushuhudia hapa
Hii simu Ni zaidi ya 600k dukani, Bei inatia Sana mashaka[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…