errynest s Lukindo
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 484
- 165
Uko wapiMimi nauza C8 100,
Tengeneza uzi wako acha mambo vitongaMi nauza C9 230000
Tengeneza uzi wako mkuu acha kupenda vitonga!Mimi nauza C8 100,
nakupa 80000 cashNauza simu tajwa hapo juu
Tecno C8 Tsh 180000(Laki moja na Themanini)
Ipo katika hali nzuri tyu.
Imetumika mwezi mmoja
Kwa mawasiliano
0675636863 au 0762504906
Sasa mkuu mwenzio kaanzisha uzi wake wa kutangaza biashara yake.. nawe unaingilia kutangaza yako... Duh haimake sense hii..Mi nauza C9 230000 kwa mawasiliano 0768500500.
kaona opportunity isimpiteSasa mkuu mwenzio kaanzisha uzi wake wa kutangaza biashara yake.. nawe unaingilia kutangaza yako... Duh haimake sense hii..
Si uungwana kabisa mkuu..kaona opportunity isimpite
Niko dsm kakasimu nzuri sana hiyo ninetumia miaka 2. uko wapi mkuu?
Pole sana kwa kutokua makin na mali zako....jipange ununue simuNimedondosha simu kama hii last week. sema ina mfuniko ule warangi nyingine.😵
Hapana kaka ongeza elfu 40 hapo130 unachukua mkuu
Hyo hela ninayo kaa nayo hela yako ya maandaznakupa 80000 cash
Niko dsmmko wapi wote nyie