Inashika nafasi ya kumi hiyo mdogo angu ktk simu ghali.View attachment 447156Vertu ndiyo simu ghali zaidi hivyo wacha atumie maana kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]-Inauwezo wa kuwazuia watu wanaotaka kumdeep
-Ina uwezo wa kuzuia Number za watu maskini siziingie kwenye sim yake
-Inajiingiza salio yenyewe
KumbeeUnaambiwa material used kumake hio kitu ni very expensive
Simu ya kwanza ni billion 17.6
Inasemekana hii ndio simu anayotumia Bilionea Alahaji Aliko Dangote. Inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni kati ya $5000 hadi $7500. Ukibadilisha kwa pesa ya madafu ni kama milioni 16.5Tsh hivi. Alhaji sio mtu wa ki-spoti spoti
View attachment 451927
Mfanyabiashara huyu raia wa Nigeria anamiliki kampuni tanzu ya mafuta inayofahamika kama Dangote Group yenye makao yake makuu nchini Nigeria.
Kufikia June mwaka 2016 kwa mujibu jarida la Forbers, alitajwa kuwa na ukwasi unaokadiriwa kufikia kiasi cha dola bilioni 15.1 akiwa amewekeza kwenye nchi mbalimbali barani Afrika ikiwemo Tanzania ambapo anamiliki Kiwanda cha kutengeneza ‘Cement’ kilichopo mkoani Mtwara.
Mkuu weka full specifications za simu hiyo sio kutupa bei yake tu maana hata mm naweza kuwa na techno ya laki moja ila nikawekewa frame ya gold ikafika 5-10 million tsh kumbe specification zake za kawaida sanaInasemekana hii ndio simu anayotumia Bilionea Alahaji Aliko Dangote. Inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni kati ya $5000 hadi $7500. Ukibadilisha kwa pesa ya madafu ni kama milioni 16.5Tsh hivi. Alhaji sio mtu wa ki-spoti spoti
View attachment 451927
Mfanyabiashara huyu raia wa Nigeria anamiliki kampuni tanzu ya mafuta inayofahamika kama Dangote Group yenye makao yake makuu nchini Nigeria.
Kufikia June mwaka 2016 kwa mujibu jarida la Forbers, alitajwa kuwa na ukwasi unaokadiriwa kufikia kiasi cha dola bilioni 15.1 akiwa amewekeza kwenye nchi mbalimbali barani Afrika ikiwemo Tanzania ambapo anamiliki Kiwanda cha kutengeneza ‘Cement’ kilichopo mkoani Mtwara.
Nilikuw nae juzi huwez amin anatumia Microsoft 105 hana mbwembwe..mh bhas simu ya billionea bill gate itakuwa na thanam sawa na budget yetu ya mwaka mmoja au zaid!
Tajiri ana huo muda wa kusnapchart?Haina front camera aaaha kwa iyo mambo ya snapchart hayataki?
Na Instagram je?Tajiri ana huo muda wa kusnapchart?
Kimsingi siwezi kuendelea kusoma comments nyingine baada ya kwenda penye hiyo link uliyotoa kwangu mimi thread imeishia hapa Shukran nyingi kwako ndugu