Simu Bora za Kichina kwa Bei Rahisi kabisa

Simu Bora za Kichina kwa Bei Rahisi kabisa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Wadau mimi binafsi sijawahi kuwa mpenzi wa simu. Nimekuwa na simu simple tu sababu matumizi yangu makubwa ya simu ni Internet na Camera. Sina mambo mengi.

Nimepata wazo la kuwa na simu ya kichina ambayo itakuwa bora kwa bei nafuu isiyozidi tsh 400,000 simu ya uchumi wa kati. Naombeni ushauri wenu kwa kuzingatia.
1. Ukaaji wa chaji
2. Fast Internet
3. Best Pictures
4. Memory kubwa pia

Tusizungumzie Samsung, Apple n.k hizo hapana. Nahitaji hizi za kichina kama Xiomi, Real Me,Vivo, Oppo and the like. Ukiacha za Tecno,Infinix,Itel hizo hapana.

Nawasilisha pia picha mnisaidia kuchagua kwa utaalamu wenu




Screenshot_20211115-200331.png
Screenshot_20211115-200237.png
Screenshot_20211115-200133.png
Screenshot_20211115-200058.png
Screenshot_20211115-200331.png
Screenshot_20211115-200237.png
Screenshot_20211115-200133.png
Screenshot_20211115-200058.png
 
Nimeoa Samsung ya million 5 pale Mlimani City, I will go for it
 
Chukua infinix hot 10 play

Inasifa Bora zaidi ya hizo ulizoorozesha Apo juu
 
Tafta hela kijana wenzio tunatumia simu za 5ml we unazungumzia 400k
 
Z Fold 3 512GB bei gani mkuu?
Inafikia mil 5+. Tanzania simu kama hii ni chache kwa sababu ya hali ya uchumi. Na ukienda kichwa kichwa utapigwa na feki. Kimsingi Bongo unapotaka kununua simu inatakiwa uwe makini sana. BTW mimi ni bora niingie gharama kidogo na ninunue hata used Iphone kuliko kununua hizi za mchina. Hazina maisha marefu na zina maluweluwe sana.
 
Natumia Realme X 8/256 niliagiza 1 Month before eruption ya Corona Till to Date nadunda nayo.. Ipo HOT kinoma.. Chinese people wana balaa sana aisee..

Cijawahi ijutia hii smart
 
Back
Top Bottom