koboG JF-Expert Member Joined Apr 3, 2016 Posts 2,763 Reaction score 5,167 May 31, 2016 #1 wabongo bwana. kwakujifariji tuko vizuri! eti unakuta mtu ana simu aina ya OKING ukimuuliza simu yako ni aina gani anakujibu! OKING X2 new model. ilimradi umuone hana simu feki
wabongo bwana. kwakujifariji tuko vizuri! eti unakuta mtu ana simu aina ya OKING ukimuuliza simu yako ni aina gani anakujibu! OKING X2 new model. ilimradi umuone hana simu feki
A aneth joseph Senior Member Joined Apr 22, 2016 Posts 135 Reaction score 89 Jun 1, 2016 #2 koboG said: wabongo bwana. kwakujifariji tuko vizuri! eti unakuta mtu ana simu aina ya OKING ukimuuliza simu yako ni aina gani anakujibu! OKING X2 new model. ilimradi umuone hana simu feki Click to expand... Na kweli huko ni kujifariji
koboG said: wabongo bwana. kwakujifariji tuko vizuri! eti unakuta mtu ana simu aina ya OKING ukimuuliza simu yako ni aina gani anakujibu! OKING X2 new model. ilimradi umuone hana simu feki Click to expand... Na kweli huko ni kujifariji
theHAVARD_product JF-Expert Member Joined May 4, 2012 Posts 289 Reaction score 192 Jun 1, 2016 #3 Tatizo wakiona inakubali Facebook na WhatsApp wanajua Original.
koboG JF-Expert Member Joined Apr 3, 2016 Posts 2,763 Reaction score 5,167 Jun 1, 2016 Thread starter #4 theHAVARD_product said: Tatizo wakiona inakubali Facebook na WhatsApp wanajua Original. Click to expand... hhhhh wataisoma namba
theHAVARD_product said: Tatizo wakiona inakubali Facebook na WhatsApp wanajua Original. Click to expand... hhhhh wataisoma namba
sajumo JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 1,834 Reaction score 1,055 Jun 8, 2016 #5 Simu kava Nokia ukiiwasha inajiandika mbonde kazi tunayo au unakuta Samsung kubwa la touch screen liwashe ndio utajua
Simu kava Nokia ukiiwasha inajiandika mbonde kazi tunayo au unakuta Samsung kubwa la touch screen liwashe ndio utajua