Nestory Westone
Senior Member
- May 13, 2015
- 154
- 116
Kuna Itel tatu, moja ni smartphone ya laini mbili na mbili ni simu ndongo za laini tatu kila moja, pia kuna Tecno ina laini tatu.
Simu ndogo bei ni Tsh15,000/= kila moja na Smartphone bei ni Tsh35,000/=.
Bei haipungui ukiona hazikufai haina haja kuchafua tangazo. Simu zote zimetumika siku chache na hazina matatizo kabisa.
Napatikana Mbezi Dar es Salaam karibu na barabara ya kwenda Makabe(Ni karibu na stendi ya mikoani).
Simu ndogo bei ni Tsh15,000/= kila moja na Smartphone bei ni Tsh35,000/=.
Bei haipungui ukiona hazikufai haina haja kuchafua tangazo. Simu zote zimetumika siku chache na hazina matatizo kabisa.
Napatikana Mbezi Dar es Salaam karibu na barabara ya kwenda Makabe(Ni karibu na stendi ya mikoani).