The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Simu ilikua kwa fundi ndio maana nikawa sikujibu sms zako ila hela bado inahitajika ya matengenezo
Ahsante nauli na ya kutolea nimeiona ila kwa kuchelewa, simu ilikua kwa fundi.....
(Siji tena)
😂😄😅😆😁😂😄😅😆😁😂😄😅😅😆aisee jana simu ilikua kwa fundi sikupatikana siku nzima
Uongo simu ilikua kwa fundi akawa anaitumiaaisee jana simu ilikua kwa fundi sikupatikana siku nzima
aya bhana,, vipi upo lakiniUongo simu ilikua kwa fundi akawa anaitumia
Nipo ila si unajua simu ilikua kwa fundiaya bhana,, vipi upo lakini
anha imepona sasa😊Nipo ila si unajua simu ilikua kwa fundi
Hao Ndiyo Ukisikia Kausha Damu, Majambazi, Kimbia Haraka Wahi Home UtulieHawa ndio ma Lembebez?
😀😀
Natumia ya fundianha imepona sasa😊
sawasawaNatumia ya fundi
Hata kama simu ilikuwa kwa fundi, ungefika tu bila taarifaSimiu ilikua kwa fundi ndo maana umeona nipo kimya