Simu imewakutanisha....hatimae wameoana!

kawaida sana hii.inatokea sana
 
Maalim Jumar.............mandhali wamekubaliana na kuoana,..........basi hatuna cha kufanya ila ni kuwaombea tuu........network isije ikawa low au simu unayopiga haipakikani duh, maana hii mitandao bwana haina maana.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…