Simu inaandika the battery connection error, check the battery contant status wakati wa kuchaji

southernboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
882
Reaction score
1,075
Habari wakuu,

Nina simu aina ya oppo ilizima sababu siku chaji sasa wakati wa kuchaji inaniandikia hayo maneno hapo juu halafu inazima.

Wataalamu nisaidieni hiyo ni ya kubadili battery au ni matengenezo madogo nisije enda kwa fundi akanipiga parefu.
 
Ulisolvje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…