peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Kichwa cha Habari chahusika.
Nikiweka simu sikioni kuongea hatakama ni kwa dakika 2 tu Kichwa kinauma sana na mpaka sikio linauma. Yapata wiki sasa tangu nianze kupata hili tatizo.
Zamani nlikuwa nikiongea kwa muda mrefu kama nusu saa ndio nasikia maumivu ya kichwa japo hayakuwa makali kama sasahivi. Kazi yangu inanilazimu kuongea na simu mara kwa mara hivyo imenilazimu wakati mwingi niwe naweka loud speaker japo wakati mwingine nashindwa kutokana na mazingira na maongezi yenyewe.
Nashindwa kujua hasa sababu ya tatizo hili na namna ya kukabiliana nalo. Sijajua kwasasa niende hospitali gani kwani hospitali nyingi kwa ufahamu wangu hazina utaalam wa mambo ya mionzi.
Naamini ntapata msaada na mawazo mazuri.
Natanguliza Shukran.
Nikiweka simu sikioni kuongea hatakama ni kwa dakika 2 tu Kichwa kinauma sana na mpaka sikio linauma. Yapata wiki sasa tangu nianze kupata hili tatizo.
Zamani nlikuwa nikiongea kwa muda mrefu kama nusu saa ndio nasikia maumivu ya kichwa japo hayakuwa makali kama sasahivi. Kazi yangu inanilazimu kuongea na simu mara kwa mara hivyo imenilazimu wakati mwingi niwe naweka loud speaker japo wakati mwingine nashindwa kutokana na mazingira na maongezi yenyewe.
Nashindwa kujua hasa sababu ya tatizo hili na namna ya kukabiliana nalo. Sijajua kwasasa niende hospitali gani kwani hospitali nyingi kwa ufahamu wangu hazina utaalam wa mambo ya mionzi.
Naamini ntapata msaada na mawazo mazuri.
Natanguliza Shukran.