PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
- Thread starter
-
- #21
Vipi kwenye Maduka ya K/KooNunua Amazon ama mtu unaemfahamu ama mwenye sifa nzuri ya kukubali kurudishiwa kifaa, refurbished hazina uhakika kabisa unaweza ukapata simu nzuri ama ikawa kimeo.
Ukumbuke refurbished ni simu ambazo zimerudishwa Zikawa repaired na kuuzwa tena.
Kwa Amazon Unapata manufacture refurbished, yaani Kampuni yenyewe kama ni Apple ama Samsung ndio ametengeneza hii inakuwa safe kuliko seller refurbished iliotengenezwa mtaani.
Ngumu sana Mkuu hasa kwa hizo s20 FE na iphone 11 Na hawaaminiki hata kidogo.Vipi kwenye Maduka ya K/Koo
Lakini iphone 11 pro max na Samsung s20 hapo ipi zaidi mkuu
Ahsante Mkuu. Ngoja nifanye online purchase kwa Amazon. Japo ikitokea wakaniletea simu ikasumbua ndani ya mda mfupi sijui ntaipeleka wapi!!Ngumu sana Mkuu hasa kwa hizo s20 FE na iphone 11 Na hawaaminiki hata kidogo.
Kama umewahi nunua refurb online zinakuwa na ratings tofauti unakuta simu moja inauzwa Dola 100 mpaka 300 kutegemea na ukubwa wa tatizo, hivyo wabongo sisi tunapenda bei rahisi rahisi atanunua hio ya dola 100 aje akupige.
kama una mtu unamjua uhakika kariakoo unaweza kujaribu bahati yako.
Una rudisha, na woot (subsidiary ya Amazon) Wana iPhone 11 kwa around $450.Ahsante Mkuu. Ngoja nifanye online purchase kwa Amazon. Japo ikitokea wakaniletea simu ikasumbua ndani ya mda mfupi sijui ntaipeleka wapi!!
zoom lensMkuu hii telephoto lens ni nini inafanya?
Yaani unakuta watu wanaongelea simu wewe unataja A30 are you serious?Mkuu achana na refurbished.... kwa pesa hiyo tafuta samsung mpya amabayo sio refub ..
Niliwahi tumia Samsung galaxy A30 charge siku nzima inakaa na matumizi ni heavy kabisa! Na kama nikitumia wifi bila kuwasha data huwa inakaa zaidi,
Kuna samsung mpya zimetoa hivi karibuni zifualtilie mkuu...
Unaweza ukachukuwa simu ya bei kubwa sana lakini kumbe specifications unazozihitaji ni za kiani
Achana na hizi iphone refurb!!
Sawa mkuu. Thanks.Una rudisha, na woot (subsidiary ya Amazon) Wana iPhone 11 kwa around $450.
Kwa bajet yako iyo chukua Motorola edge utakuja kuniunga mkomo na utaleta mlejeshoWadau hakika kipa umbele ni simu inayodumu sana na Chaji. Nisaidieni kupata simu hiyo hata kama ni Refurbished kwa maximum budget ya 1.1 TZS Million. Inatakiwa kama ni Samsung iwe at least S10+ na kama ni iphone iwe at least XR.
NB: Iwe inayokaa sana na Chaji not less than 1 day on full application.
Ahsante.
Mkuu kwa hiyo return policy, maana ake hata kama simu ni mbovu hairudi. Na mbona shipping cost ni kubwa sana. Mfano hiyo ni bei ya Renewed S10+ $268 lakini shipping cost ni $101 jumla ni Abt $371. Is it fair mkuu. Nipe final adviceUna rudisha, na woot (subsidiary ya Amazon) Wana iPhone 11 kwa around $450.
Au hiyo return policy ni kwa options ya hzo accessories tu, cyo cm!!!Mkuu kwa hiyo return policy, maana ake hata kama simu ni mbovu hairudi. Na mbona shipping cost ni kubwa sana. Mfano hiyo ni bei ya Renewed S10+ $268 lakini shipping cost ni $101 jumla ni Abt $371. Is it fair mkuu. Nipe final adviceView attachment 1868922
Ukipasua kioo chake unakuta spea ni ghali kuliko thamani ya simu kwa wakati huo huo!Guardian of the galaxy [emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂Apa ndipo nazipendea samsung..Ukipasua kioo chake unakuta spea ni ghali kuliko thamani ya simu kwa wakati huo huo!
Yes walivyo andika hapo huwezi kuirudisha hio simu kama ni mbovu.Mkuu kwa hiyo return policy, maana ake hata kama simu ni mbovu hairudi. Na mbona shipping cost ni kubwa sana. Mfano hiyo ni bei ya Renewed S10+ $268 lakini shipping cost ni $101 jumla ni Abt $371. Is it fair mkuu. Nipe final adviceView attachment 1868922
Mkuu hivi hakuna namna ya kujua Refurbished lakini OG nikachulia hapa hapa Bongo kwetu. Maana wengi wanakubali ku-install app ya kucheki info. Au nazo tiyari zishachakachuliwa kiasi kwamba zitaleta same info kama za GSMArena but fakeYes walivyo andika hapo huwezi kuirudisha hio simu kama ni mbovu.
Na unapo nunua vitu USA huwa tunatumia service za ku forward mzigo, unatoka Amazon unaenda kampuni ya ku forward then wao ndio wanakuletea huku Tanzania.
Zipo kampuni Nyingi mitaani unaweza hata ukamtumia Mwl humu jukwaani kama huna uzoefu. Mimi natumia Aramex wapo karibu na ocean Road Mjini pale unaweza watembelea, cost yao ni kama $15 nusu kilo toka USA mpaka Hapa Tz.