Mbona huulizi anakula nini au anaishi vipi!Kwani kupiga simu inacost million ngapi?
NITASEMA UKWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO.
Huwa tunapenda sana kuomba vocha kwa wanaume mbalimbali. yule unayemuomba vocha hata kama akikutumia haumpigii yeye ila unambip japo amekutumia. unampigia mwingine tena mwanaume. na kama boyfriend wangu akinitumia vocha simpigii pia nitamuandikia sms au kumbip japo simu ina hela ila nitampigia mwanaume mwingine. vivocha huwa vinatukamatisha wengi sana maana lazima kuna nyingine zinalipwa interms of kind not cash.
mmmm naanza pata pichaKwa maneno ya M...yangu. mi najisiska kwamba amewekewa airtime na mwanaume mwingine halafu anakupigia wewe
Kuhoji co kujipa preshaaaaaaWe naye vp, kwani dk 20 inagharimu sh ngap??? Kama ishu ndogondogo kama hizi zinakupa tabu, uhusiano utauweza kweli??
ww hata u,iwekewa unabpu,iyo ni nin sasandio nyote nyie nyie!! kama unajua hana kazi wala shuhuli yoyote, siumwekee vocha??
Hua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?
Hua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?
mmmm naanza pata picha
???????????????????????????''''''''''''''Zinatoka kwa yulee mzee zinakuja kwako!! hehehe!
kama huna tabia ya kujiulza kuhs mahsiano yako inabd nikupe poa.We naye vp, kwani dk 20 inagharimu sh ngap??? Kama ishu ndogondogo kama hizi zinakupa tabu, uhusiano utauweza kweli??
Hua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?