Simu janja zinasaidia sana kumbukumbu, nusu nibambikiwe mimba

Simu janja zinasaidia sana kumbukumbu, nusu nibambikiwe mimba

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Hizi simu kwa hapa kwetu nadhani tunatumia asilimia 15 kati ya 100.

Tunapenda sana mitandao ya kijamii zile app bila app ambazo zitakuwa zina-track kama afya, mizunguko ya wanawake kwenye siku zao, bajeti, maeneo ambayo una kumbukumbu na n.k

Sasa unajua kuchepuka raha sana, basi nikapata katoto kwenye shughuli zangu huku na huku kujitahidi kuomba mechi kakawa kanafunguka kuwa siku za hatari wakati naomba.

Kumbe ni note kwenye zile app, siku moja nikapata mechi na ile siku nilikuwa na app yangu ambayo inakusanya rekodi zote kama nitaenda wapi, nitakuwa na maeneo gani na muda gani na siku gani mpaka mwezi.

Baada ya miezi miwili kamekuja kuniambia kana mimba ni kamchukua maelezo ila sikulidhika nayo ikabidi kwenda kwa dokta na majibu ya dokta yanaonyesha na rekodi zangu zimepishana. Nikakabana kamekubali sio yangu maana kila nikipiga point anashindwa kujibu
 
2803634f612809be47f15dc54e6bb88b3a44adb28908d017819fe5a46b696673.0.png
 
Hizi simu kwa hapa kwetu nadhani tunatumia asilimia 15 kati ya 100.

Tunapenda sana mitandao ya kijamii zile app bila app ambazo zitakuwa zina-track kama afya,mizunguko ya wanawake kwenye siku zao,bajeti,maeneo ambayo una kumbukumbu na n.k

Sasa unajua kuchepuka raha sana, basi nikapata katoto kwenye shughuli zangu huku na huku kujitahidi kuomba mechi kakawa kanafunguka kuwa siku za hatari wakati naomba.

Kumbe ni note kwenye zile app, siku moja nikapata mechi na ile siku nilikuwa na app yangu ambayo inakusanya rekodi zote kama nitaenda wapi, nitakuwa na maeneo gani na muda gani na siku gani mpaka mwezi.

Baada ya miezi miwili kamekuja kuniambia kana mimba ni kamchukua maelezo ila sikulidhika nayo ikabidi kwenda kwa dokta na majibu ya dokta yanaonyesha na rekodi zangu zimepishana. Nikakabana kamekubali sio yangu maana kila nikipiga point anashindwa kujibu

Mimi hizi app zimenipa jeuri ya kuamua lini napachika mimba na wakati gani wa kukwepa.

Nakumbuka mke wangu mkubwa mwishoni mwa mwaka jana mimba iliharibika, alikuwa mnyonge sana alivyogundua ile alafu nilikuwa safarini wakati huo. Nilichokifanya ni kuingiza zile taarifa kwenye system, nikajua lini siku nzuri ya kumpiga mimba nyingine.

Kidume nikatulia wala sikumuambia.

Zile siku zilivyokaribia, nilihakikisha napeleka moto kila siku. Hivi navyoandika mke wangu ana bonge la tabasamu.

Hapa najiandaa kupokea mgeni kabla ya mwaka kuisha.
 
Hizi simu kwa hapa kwetu nadhani tunatumia asilimia 15 kati ya 100.

Tunapenda sana mitandao ya kijamii zile app bila app ambazo zitakuwa zina-track kama afya,mizunguko ya wanawake kwenye siku zao,bajeti,maeneo ambayo una kumbukumbu na n.k

Sasa unajua kuchepuka raha sana, basi nikapata katoto kwenye shughuli zangu huku na huku kujitahidi kuomba mechi kakawa kanafunguka kuwa siku za hatari wakati naomba.

Kumbe ni note kwenye zile app, siku moja nikapata mechi na ile siku nilikuwa na app yangu ambayo inakusanya rekodi zote kama nitaenda wapi, nitakuwa na maeneo gani na muda gani na siku gani mpaka mwezi.

Baada ya miezi miwili kamekuja kuniambia kana mimba ni kamchukua maelezo ila sikulidhika nayo ikabidi kwenda kwa dokta na majibu ya dokta yanaonyesha na rekodi zangu zimepishana. Nikakabana kamekubali sio yangu maana kila nikipiga point anashindwa kujibu
Haipimi na ukimwi maana inaonekana we habari za ukimwi hazikuhusu
 
Kumbe huzalishi njemba?! Pole sana. Yote kheri mkuu!
 
Kwaiyo baada ya hapo ikaweje? Mnaendelea kulea mimba ama umemtema?
 
Back
Top Bottom