Simu kujipiga yafichua siri

Pinda alisema hivi,,"ningekuwa mimi ningeshamfukuzilia mbali Jairo!"Sasa na mimi nasema kwamba ningekuwa mimi ningesha mtimulia mbali huyo mamii.
 
HADITHI YA MFALME; mfalme alipata taarifa kuwa mkewe si mwaminifu, akawatuma vijana wake kufanya upelelezi. Vijana wale hawakupata ushahidi wa jambo walilokuwa wakilichunguza. Wakamjibu mfalme kuwa jambo lile halina ushahidi. Mfalme akajisemea moyoni, japo ushahidi haupo, inatosha kumwacha mkewe na akafanya hivyo.MAANA YAKE NINI: Wnaume hatujaumbwa kuchangia mapenzi, japo kimaumbile wanawake wengi wanaweza kuchangia mwanaume mmoja. Tafadhari wanawake msinishambulie katika hili, hasa AshaDii.Kwa kanuni za kufumania, hapo hakuna ushahidi. Ushahidi ni kuwakuta wanajamiaana na uume umengia ukeni na ukashuhudia mwenyewe kwa macho.Kwa ufupi kusamehe na kutosamehe vyote vinabeba uzito sawa. Jamaa hatokaa amwamini mkewe tena na atalitenda tendo la ndoa kwa mashaka mpaka siku anawekwa kaburini. Kwa wanawake wakati mwingine huwa wanasahau.Ushauri wangu ni kuwa amsamehe mkewe, ila ajue kuwa mke hajatulia. Hata kama akioa mwanamke mwingine, kuna uhakika gani kuwa hatomtenda sawa na hivyo?KWA UFUPI MAISHA YAMEHARIBIKA, TUNAONA ILI MAISHA YAENDELEE NA SIO KUMPATA MKE/MUME MWAMINIFU (japo wachache wapo).SI MJINI WALA VIJIJINI. KAMA JAMAA ANAKAZI ZA NJJE AENDELEE NAZO, KAMA HANA BASI ATAFUTE JAPO KUPUNGUZA UCHUNGU. MKE ALISHAMEGWA MAMA ANAJIFARAGUA TU.Samahani kwa kukuchosha.
 
Duh......afadhali TRA wabadilishe tena mfumo wa kodi za hizi gari ndogondogo kama Vitz,Hopa,nk......maana zimevunja ndoa nyingi na nyingine ziko hatihati.........mabazazi wanazitumia kama kondom!
 
......huyo kaishatiwa sanaaaa!!jamani,why are we geting married wakati hauna kipaji hiko?tunaishia kuumizana tu,hapo ndoa haina amani tena,eh mungu!!
 
nimekubaliana na ushauri wako sana kazi hiyo naifanya kesho saa 12jioni hivyo jtano nitawapatia matokeo kama imevunjika au la
 
hopa ni gari gani au ni power tiller...au ulikuwa unataka kusema opa???ngelengele na alusha kote kwetu
 
mambo mengine yanachanganya kweli...gf akizingua nadata wife sijui itakuaje
 
Hadisi hii inatufundisha nini watoto?

na huu ndio mwisho wa kipindi chetu cha Mama na Mwana!
 
hopa ni gari gani au ni power tiller...au ulikuwa unataka kusema opa???ngelengele na alusha kote kwetu

Walewale.......vitu vidooooogo wanamaind......lakini wanaonga hizo hopa......opa
 


Mwambie amsamehe ni shetani tu kapita, wanawake tukikengeuka huwa tunakuwa woga sana hasa soo likishabumburuka basi ujue bye bye!! msomee vipengele vya kwenye biblia (usinambie hujui), mpe mifano hai kuhusu maisha. At the end mwambie kwamba hukumu iko mikononi mwake!
 
Ampige chini haraka huyo hafai, mi nafikiri kwenye ndoa dhambi ya mwisho kabisa mwenzako kukufanyia ni kucheat, kwahiyo kama yeye alikuwa tayari na huo mpango huyo ni kwamba hafai. Hata ukilazimisha kuendeleea kukaa naye kwamba umsamehee tu, ukweli ni kwamba mapenzi yenu hayataweza tena kurudi kama awali, na pengine kero ndio itakuwa kubwa zaidi. kifupi huyo ampige chini.
 
Swaga zao sawa sawa! mimi naona wasameheane wakae kwa amani ya bwana. Blv me huyo mdada akiendelea na huyo jamaa wa nje ujue nikibaka mzoefu! amuonyeshe njia ya kurudi kwao mahenge! lol

Ila wanaume nina ka swali kamoja kwenu, wanaume wengi wamekomaa sana kufukuza hatamuamini tena, hizi ndoa hizi kama wanawake tungekuwa hivyo unafikiri kuna mtu angekuwa na ndoa? Wanaume mmezidi ubaka, mambo yote hadharani, mnarudi na condoms nyumbani ukiuizwa unajibu uharo sisi tunangaalia tu game!! Hii issue ya Mkuki kuwa kwa Nguruwe kwa Binadamu mchungu nahisi imepitwa wakati. Kama wewe ni mwizi basi ukiibiwa kuwa mpole!
 
Maisha ni ghalli kwa maana yanahitaji kuchukuliana ebu suluhisho liwe kuelewana bila kuvunja ndoa.
 
Hiyo gari ya Hopa kwanini ameikataa wakati ni toleo jipya hata mtaani hazijaingia?
 

Acha kumshauri mwenzio pumba wewe kama yeye hajawai kumsaliti mwenzie ata siku moja na amwache mkewe
 
Kama hii ndo kazi ya msimamizi wa ndoa, sisimamii tena ndoa...
 
mmh?hapo ngumu kumeza na pia ngumu kutema,hii kitu isikie tu kwa mwenzako,ampe kwanza likizo mke kupisha uchunguzi kabla ya kutengana,hata ivyo jamaa ana moyo wa chuma,lol?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…