INAUZWA Simu Nokia 2 inauzwa, nzima imetukika Tz mwezi mmoja tu.

INAUZWA Simu Nokia 2 inauzwa, nzima imetukika Tz mwezi mmoja tu.

Marashi

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
2,877
Reaction score
4,522
Simu aina ya Nokia 2 inauzwa. Imetumika mwezi mmoja tu na ina full documents. Simu pamoja na accessories zake: cover (autofocus), charger USB, ear phones.
Bei 280,000 TZS maongezi yapo kiduchu.

Mmiliki anasafiri kwenda ulaya tarehe 28/8/2018 aliinunua tu kwa matumizi ya hapa Bongo. Kama unayo cash wasiliana na mimi.

Kuhusu nokia 2 link Nokia 2 - Full phone specifications

Sent using Jamii Forums mobile app
 
weka namba yako hapa hadharani, masuala ya kupeana namba inbox ndio mwisho wa siku mzijue identity zetu
 
Simu aina ya Nokia 2 inauzwa. Imetumika mwezi mmoja tu na ina full documents. Simu pamoja na accessories zake: cover (autofocus), charger USB, ear phones.
Bei 280,000 TZS maongezi yapo kiduchu.

Mmiliki anasafiri kwenda ulaya tarehe 28/8/2018 aliinunua tu kwa matumizi ya hapa Bongo. Kama unayo cash wasiliana na mimi.

Kuhusu nokia 2 link Nokia 2 - Full phone specifications

Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko pouwa. Mkoani unatuma. Nipo hapa katavi njia panda niletee kwa 260000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kapicha kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha halisi sina. Ila hii ni picha ya simu halisi
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom