Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

NTONGWA

Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
48
Reaction score
25
Habari za weekend,
Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
 
Ungefuta kwanza hilo neno "nzuri " mkuu afu ndo tuanze kuchangia mada.
Anyway ningekuwa mimi kwa hiyo bajeti ningenunua used. Misimu mingi ya laki tatu ni ya ovyo haijalishi kampuni.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ushauri wangu upo kwenye brand tu.Chukua samsung kwanza ni simu ambazo zinaeleweka zipo sokoni toka muda mrefu.Pili ni brand ambayo inakubalika popote ulimwenguni.Tatu ni miongoni mwa brand bora za simu.Hayo Masimu mengine wanayokutajia kama infinix,oppo,tecno na mengineyo yapo tu huku africa pengine na asia.Ukiachana na Samsung Brand nyingine bora ni Nokia japo wameshuka hadhi kidogo lakini wako vizuri kuliko hayo masimu mengine
 
Chukua nokia 2.3
Ukiongeza 50k unaweza pata Nokia 2.4
 
Mimi ushauri wangu upo kwenye brand tu.Chukua samsung kwanza ni simu ambazo zinaeleweka zipo sokoni toka muda mrefu.Pili ni brand ambayo inakubalika popote ulimwenguni.Tatu ni miongoni mwa brand bora za simu.Hayo Masimu mengine wanayokutajia kama infinix,oppo,tecno na mengineyo yapo tu huku africa pengine na asia.Ukiachana na Samsung Brand nyingine bora ni Nokia japo wameshuka hadhi kidogo lakini wako vizuri kuliko hayo masimu mengine
Kuna hii simu hii ya Samsung A02 ni ya hovyo kupita hata tecno f1 [emoji23]
 
Habari za weekend,
Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
Njoo pm mkuu
 
Back
Top Bottom