Simu ya chuma

Simu ya chuma

Kamaka

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2010
Posts
563
Reaction score
33
Jamaa mmoja alifika kazini akiwa na bandeji kwenye masikio yote mawili,bosi akamuuliza ilikuwaje akajibu eti alikuwa anapasi simu ikaita badala ya kupokea simu akapokea pasi ya moto,bosi akamuuliza hapo sawa je sikio la pili imekuaje? Jamaa akajibu si alibidi nimpigie daktari nikatumia la pili!!
 
Back
Top Bottom