Phone4Sale Simu ya Samsung A30 inauzwa kwa bei nafuu

Phone4Sale Simu ya Samsung A30 inauzwa kwa bei nafuu

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Habari.
Nauza simu ya Samsung A30 toleo la mwaka huu, simu ina miezi mitano tu toka inunuliwe, ipo katika hali nzuri ila tu Screen Protector ndio imecrake..
SPECS.
●4GB RAM
●64HDD
●Laini Mbili
●MP 16
●Mengine jionee mwenyewe hapa..Ukinunua utapewa na Cover zake (zipo)Charger yake na Lisiti.
○Location:Sakina _ Arusha Tanzania
■Bei ni 450000 tu ila inazungumzika.
[emoji724]Mkoani itaagizwa.
Mawasiliano yafanyuke Pm.. Ukiwa interested niambie niku_Pm
□Sababu ya Kuuza ni Vyuma vimekaza!

Yours
~Vers
View attachment 1262924
20191112_112254.jpeg
View attachment 1262926View attachment 1262925
Screenshot_20191112-112754_Settings.jpeg
Screenshot_20191112-112642_Device%20care.jpeg
 
Back
Top Bottom