the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,611
- 7,063
Ni kweli mkuu, ni Materazi huyoHahhaha I remember this huyo aliyekula head alikuwa Materaz nadhani
Ndie Daddy wangu huyo ankal.Ankal huyu dad mbona simfehemu?
Hiyo ilikua fainali ya world cup 2006 mkuu, France vs Italy. Zidane hapo akapigwa nyekundu, na akastaafu kabisa timu ya taifa. Game iliisha 1 - 1. Italy alishinda 5 - 3 kwa penatiIlikuwa ni World Cup ya 2005?
Ndie Daddy wangu huyo ankal.
Kwa heshima kabisa naomba nichukue fursa hii kumtambulisha Daddy SHIMBA YA BUYENZE to u ankal Mshana Jr .
[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]