Simu yangu aina ya Oppo imezima ghafla

mandwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
1,493
Reaction score
361
Habar hii simu haiwaki imezima gafla nimepeleka kwa kila aina ya fundi wamebadilisha kioo imeshindikana kuwaka ikiweka chaji inapeleka ukiwasha inatoa mlio wa kuwaka ila kioo hakiwaki.

Msaada.

 

Attachments

Hizo zisha expire kimfumo ndio maana zinauzwa laki laki.

Simu hizo ni mithili ya nyumba isiyokuwa na mlango maana hazina security updates zozote. Hapo ilipofikia ndio hatma yake. Tafuta laki ukanunue nyingine.
 
Sasa oppo ni Simu ya kuharibika ukapeleka fundi...?
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…